Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha.Kama umeshapata rafiki uliyemtaka!!! Hayo ya mrejesho yametoka wap?
Nyie wakike kuna mtu anatafuta marafiki huku.
🤣 🤣 Mbwe mbwe kama zote bado ni penzi changa.Hakukua na haja ya kupost screenshot hayo ni mawasiliano binafsi
Hujakosea kabisa mkuu ni wa pande izo ingawa sio machame.Amesha kuambia kwamba anatokea pande za Machame?
Maana kule Kuna totoz si mchezo halafu wapoleee.
Tushakutana x3 mkuu. Shetani atuepukie mbaliNyie mnaitana bloodie bloodie hamjakutana live nyie,NASEMAJE MTAKULANA TUU
Tumia dawa tatu[emoji1787] [emoji1787] Mbwe mbwe kama zote bado ni penzi changa.
Enjoy every moment of your life before it's goneMwanzo mwanzo mnaitana bloodie, mara love, mara habit ngoja siku za mbele kama hamtoitana mbwa, mshenzi, sisi tutapokea matokeo tu,
Hakika mkuu. Uzi unapendeza ukiwa na kapicha kwa mbali otherwise watu hawachelewi kuita chaiSawa sawa, ukitoa assist utuletee mrejesho kwa screenshots tafadhali.
Jmn[emoji3]Kama umeshapata rafiki uliyemtaka!!! Hayo ya mrejesho yametoka wap?
Nyie wakike kuna mtu anatafuta marafiki huku.
Kama Ni wa huko umepata jiko Ila jipange kutafuta pesa. Dada zangu hawapendi kula maharage na matembele.Hujakosea kabisa mkuu ni wa pande izo ingawa sio machame.
ana kila sifa ambayo mwanamke anastahili kuwa nayo
DuuhHopes mko poa wana MMU, ningependa kutoa mrejesho
Kuna siku nilipost kule love connect kuwa naitaji rafiki wa kike, ingawa niliweka vigezo vingi ambavyo wengi waliokuja PM walishindwa kuvikidhi but i don't regret it.
Nimefanikiwa kumpata huyu rafiki ambae tumepata kuwasiliana for almost 3 weeks now and good enough ana match vigezo vyote vya rafiki niliyekua nikimuitaji. She's very charming, mcheshi, mpole, msomi halafu mrembo mno.
Nikiwa na stress yoyote sikawii kumcheki na kunicalm down. Ndio lilikua lengo langu la kutafuta rafiki wa kike & am very grateful for that.
Najivunia kujuana na huyu dada, ni muda mfupi but seems like tumejuana muda sana.
Asante kwa kuwa mshauri mzuri kwangu.
Thanks JamiiForums.
Thanks MMU
Happy birthday [emoji3531]"J"[emoji3531].
Better late than never.
Jmn[emoji3]
Kama Ni wa huko umepata jiko Ila jipange kutafuta pesa. Dada zangu hawapendi kula maharage na matembele.
Akija mwingine,nitupie mmoja
Nani aliimba ile nyimbo ya Anajikosha???
Hongera
Ila msikulane tu mabuda
Haha muache mrembo apumzike. hatujuani ata
Ngoja nami nikaweke tangazo uko niliokote sugar mamy