Mrejesho kuhusu vipimo vya HIV

Mrejesho kuhusu vipimo vya HIV

tajiri wa mwanza

Senior Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
138
Reaction score
226
Nmeacha umalaya na uzinzi kupima si mchezo dah Jana nlipoenda kupima ngoma aisee nlikukutwa na dalili zote za HIV nkaogopa kuchukua majibu nkawapa no za mke Wang wampe
Kwahyo nliogopa kurud home mpk sa 6 iv nkamuua kurud niangalie mke Wang ypo katika hali gan dah sikuamin nkamkuta yupo anapga storii na kichekoo cha juu na majiran hapo hapo nkakimbilia boiler kuku mchele na safariii dah siwez kusahau na umalaya wote ule ule ngoma ZINAA MBAYA asante munguu
 
Nmeacha umalaya na uzinzi kupima si mchezo dah Jana nlipoenda kupima ngoma aisee nlikukutwa na dalili zote za HIV nkaogopa kuchukua majibu nkawapa no za mke Wang wampe
Kwahyo nliogopa kurud home mpk sa 6 iv nkamuua kurud niangalie mke Wang ypo katika hali gan dah sikuamin nkamkuta yupo anapga storii na kichekoo cha juu na majiran hapo hapo nkakimbilia boiler kuku mchele na safariii dah siwez kusahau na umalaya wote ule ule ngoma ZINAA MBAYA asante munguu
USIFURAHI--UNATAKIWA UMPIME TENA BAADA YA MIEZI MITATU(3MONTHS). KWA MARA TATU.
 
Nmeacha umalaya na uzinzi kupima si mchezo dah Jana nlipoenda kupima ngoma aisee nlikukutwa na dalili zote za HIV nkaogopa kuchukua majibu nkawapa no za mke Wang wampe
Kwahyo nliogopa kurud home mpk sa 6 iv nkamuua kurud niangalie mke Wang ypo katika hali gan dah sikuamin nkamkuta yupo anapga storii na kichekoo cha juu na majiran hapo hapo nkakimbilia boiler kuku mchele na safariii dah siwez kusahau na umalaya wote ule ule ngoma ZINAA MBAYA asante munguu
Okoka kabisa mkuu
 
Kuna jamaa kipindi yuko form two kalala na madem 100, nahisi saa hivi ashafikisha km 400 maana yuko chuo mwaka wa kwanza. So 40 ni kawaida mkuu
hahahahahahah, labda anawahi kupee kama kuku!!!!
 
Nmeacha umalaya na uzinzi kupima si mchezo dah Jana nlipoenda kupima ngoma aisee nlikukutwa na dalili zote za HIV nkaogopa kuchukua majibu nkawapa no za mke Wang wampe
Kwahyo nliogopa kurud home mpk sa 6 iv nkamuua kurud niangalie mke Wang ypo katika hali gan dah sikuamin nkamkuta yupo anapga storii na kichekoo cha juu na majiran hapo hapo nkakimbilia boiler kuku mchele na safariii dah siwez kusahau na umalaya wote ule ule ngoma ZINAA MBAYA asante munguu
Kwel we na mkeo wote malaya,,mpka sa sita yupo nje kwa majirani duuuh huyo mke mpe salam zangu
 
Arobaini (40) tu ndio una weweseka? wenzio wanalala nao kiasi kwamba hata idadi wanaisahau wewe hao forty tu unapagawa!!!
Kabla sijaoa 2012 niliacha kuandika mwaka 2009 nilishafikisha 1013 na nilikua sina hela kipind hcho mwaka 2010 nikazikamata vzr weeeeee mmmh
 
aiseee kwa hivi unavyoandika kama mtoto wa primary hao waliokupa mke itakuwa wanajuta huko walipo.
 
Kuna jamaa wakitongoza ni ngumu kukataliwa, ye enzi hizo yuko gheto. Alitembea karibia na darasa zima plus wa mtaani
Hao ndio mwishoe uzeeni wanaumwa matezi dume, kuziba mikojo na takataka zingine zote magonjwa ya wazee
 
Back
Top Bottom