Mrejesho: Kujamba alfajiri

Mvua ya rasharasha!! Radi na ngurumo za hatari!!!
 
Msimu wa Viazi na Magimbi ndo unaanza..,, Na uchumi ulivokaa hovyo.,, Ivo vijambo nahic vitageuka Hurricanes..!! Angalieni bhn huko maoffisin Tutauwana kwa kunyima hewa asee..!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Wanasayansi wanasema kutoa ushuzi ni afya

Kila mmoja wetu kwa wakati fulani huhisi kuvimbiwa na gesi nyingi tumboni.

Suluhu ya pekee hapa huwa ni kujamba ili kupunguza gesi hiyo tumboni

Sasa Wanayansi katika chuo kikuu cha Exeter, nchini Uingereza, wanasema kuwa wamegundua harufu mbaya kama vile ya kujamba japo inachukiza kwa pua, ina manufaa makubwa kwa afya ya binadamu.

Wanasayansi hao wanasema kuwa harufu hiyo mbaya inaweza kuwa kinga dhidi ya magonjwa ya moyo na akili na hata Saratani.

Gesi au harufu mbaya ambayo hutokana na chakula kinachosagwa tumboni mwako inaweza kulinda baadhi ya viungo vya mwili wako.

Ndio! athari ni kile ambacho unakidhania: Eti watu wanauchukulia utafiti huu kumaanisha kuwa harufu mbaya inayotokana na mtu kujamba inaweza kuzuia magonjwa fulani mwilini kama vile Saratani.

Utafiti huo uliochapishwa katika mtandao wa chuo kikuu cha Exter uligundua kuwa gesi hiyo inayojulikana kama Hydrogen Sulfide ambayo pia hupatikana katika Mayai yaliyooza, inaweza kuwa muhimu katika kutibu baadhi ya magonjwa.

"ingawa gesi ya hydrogen sulfide inajulikana kuwa na harufu mbaya na hupatikana katika Mayai yaliyooza pamoja na harufu ya mtu kujamba, hutengezwa mwilini na inawezekana kuwa tiba kwa magonjwa fulani, ''asema Daktari Mark Wood,Profesa wa chuo hicho cha Exeter.

Gesi hiyo ina athari mbaya ikiwa katika viwango vikubwa , kwa mujibu wa utafiti huo.

Watafiti wanasema licha ya harufu hiyo mbaya ya kujamba kuchukiza, ina uwezo mkubwa wa kupunguza uwezekenano wa mtu kupatwa na magonjwa kama vile, Saratani,Kiharusi, mshtuko wa Moyo na kuumwa na mifupa

Chanzo: bbc

Mkuu usiache kujamba, kujamba kuna faida tele tu.
 
ongeza vijambo tena vitatu na kuendelea mkuu.ni afya jambaaa tu
 
KUMBE KUJAMBA KUNA AFYA NAMNA HII?
We kibane tu hicho kijambio chako... unakosa fursa adimu za kiafya.

Si unaona wenzako wameamua kukifumua marinda kwa dushe ili wajambe responsibly??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…