Mrejesho: Kumuacha Grace imeshindikana tena hata baada ya kumkazia kwa wiki mbili

Kwisha habari yako.

Wakubali wote wawili hakuna namna!!!
Maisha tu haya.
mpaka hapo auchomoki kwa grace, iyo TAMU yake amekutegeshea na mimba sasa utapangua vitu vitatu
grace
pombe
mimba
🙄🤨😣😐
Mkuu me nauliza Kati ya grace na gambe kipi kmeanza?

Jibu la kilichokuwa cha mwisho ndo ukiache, kamwe usisaliti cha kwanza kukianza.
Grace 😶
Kwani kipi kinakutesa mkuu kati ya hivo???
Grace anavisa sana ndo naenda kuangukia kwenye pombe ambayo nayo inamrudisha Grace kirahisi kabisa😢
 
Waache marafiki zako unaopiga nao gambe kwanini hawakukustua ulipokua unaongea na Grace?
 
Hahah
Hahhaahah!we jamaa unapita kwenye majarbu sanaa,baada ya kupambana kumaliza tatizo moja sasa umeyaongeza yamekuwa mawili,na nakutabiria huko mbeleni utaongeza mengi zaid.,...ushauri,usimuache demu huku bado unampenda,jiridhishe kabxa kwamba sasa nimeamua kumuacha kwa dhati kabisaa
 
😬😬
Kwa Grace huchomoki!
😟 Nitafanya jaribio jengine.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

"Kimeumana"
🙃
 
Hahahaha ulikua unajivunga mkuu😲
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…