nkowosi
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 568
- 637
Kama kichwa cha habari kinavyosema baada ya kusoma taarifa za watu mbalimbali humu JF.
Juu ya uthubutu wao wa kutahiriwa ukubwani na wengine wakisema govi linafaida binafsi nikawa upande wa wanaopenda kutahiriwa nikiwa na umri wa miaka 25 taslimu nikafanya maamuz magum ya kwenda kutahiriwa nikiwa tayari mfanyaji ngono mashuhuri.na haya ndiyo nilioyashuhudia.
1.Kushonwa nyuzi mbili ngumu kutokana na ukubwa wa uume.
2. Kutolala kwa cku tatu mpaka nne kutokana na maumivu hasa usiku pale uume usimamapo.
3. Nyuzi kuzama ndan pale uume usimamapo na hivyo kuleta maumivu makali wakat wa kuzitoa.
4. Uume kuwa na makovu ya nyuz mengi kutokana na nyuzi kuzama ndani ya nyama.
USHAURI:
Kama bado hujatahiriwa n bora ubaki hivyo hivyo maana baada ya kutahiriwa sion raha ya mapenzi hata kidogo sijajua kama watakuwa wamekata mshipa wa raha pili uume hauna nguvu kama zamani kutokana na kukata baadhi ya mishipa nawashauri tena ambao bado waweze kuonana na madokta wenye ujuzi ili yasije tokea kama yangu.
Juu ya uthubutu wao wa kutahiriwa ukubwani na wengine wakisema govi linafaida binafsi nikawa upande wa wanaopenda kutahiriwa nikiwa na umri wa miaka 25 taslimu nikafanya maamuz magum ya kwenda kutahiriwa nikiwa tayari mfanyaji ngono mashuhuri.na haya ndiyo nilioyashuhudia.
1.Kushonwa nyuzi mbili ngumu kutokana na ukubwa wa uume.
2. Kutolala kwa cku tatu mpaka nne kutokana na maumivu hasa usiku pale uume usimamapo.
3. Nyuzi kuzama ndan pale uume usimamapo na hivyo kuleta maumivu makali wakat wa kuzitoa.
4. Uume kuwa na makovu ya nyuz mengi kutokana na nyuzi kuzama ndani ya nyama.
USHAURI:
Kama bado hujatahiriwa n bora ubaki hivyo hivyo maana baada ya kutahiriwa sion raha ya mapenzi hata kidogo sijajua kama watakuwa wamekata mshipa wa raha pili uume hauna nguvu kama zamani kutokana na kukata baadhi ya mishipa nawashauri tena ambao bado waweze kuonana na madokta wenye ujuzi ili yasije tokea kama yangu.