- Thread starter
- #21
Mkuu, lakini eye sight si inaangukia kwenye ukuta wa koridor? Eyesight haioni mlango wa vyumbani. Bado kuna tatizo hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, lakini eye sight si inaangukia kwenye ukuta wa koridor? Eyesight haioni mlango wa vyumbani. Bado kuna tatizo hapo?
Kuna comment huko juu kuna mtu alisema master uitwist sijui. Hebu scroll up ucheckNa choo kikae wapi?
Kwa ramani nyingi huwa haipo hivyo. Yaani mpishi atoke jikoni apite dining ndo aende kitchen verandah? Unaona iko sawa kweli mkuu?Jiko na Dining ni open concept na vinashikana kama chumba kimoja. That's why nikataka mlango ukae hapo vinapokutana. Is it a problem?
Ni kweli mkuu, kwenye ramani nyingi huwa haipo hivyo.... lakini ramani nyingi ni majiko ya kujitenga na Dining (closed kitchen).Kwa ramani nyingi huwa haipo hivyo. Yaani mpishi atoke jikoni apite dining ndo aende kitchen verandah? Unaona iko sawa kweli mkuu?
Mbovu hakuna mfanoNaiweka hapa picha inayoonekana vizuri zaidi.View attachment 2540684
"Atoke jikoni apite dining ndo aende kitchen". Unamaanisha nini?Kwa ramani nyingi huwa haipo hivyo. Yaani mpishi atoke jikoni apite dining ndo aende kitchen verandah? Unaona iko sawa kweli mkuu?
Sorry nilimaanisha kitchen verandah"Atoke jikoni apite dining ndo aende kitchen". Unamaanisha nini?
Kwa ushauri wangu hapo kwenye kitchen, store na laundry room ungeacha kama ilivyokuwa kwenye ramani yako ya kwanzaNi kweli mkuu, kwenye ramani nyingi huwa haipo hivyo.... lakini ramani nyingi ni majiko ya kujitenga na Dining (closed kitchen).
Hii hapa ya open kitchen, si jiko na Dining ni chumba kimoja kirefu kilichoshikana? Kuweka mlango kwenye makutano ya jiko na dining (zinapokutana), si sawa tu? Ili jiko liwe na space ya makabati.
Au mimi ndio naona isivyo sahihi?
Mkuu wa kupambania, nashukuru kwa mawazo mazuri. Ila Jiko na Dining kwa ramani hii si ni kitu kimoja ?(Kwa maana ya open kitchen).Sorry nilimaanisha kitchen verandah
Kitchen verandah ikae pale lillipo jiko ili kuepusha usumbufu wa kupitapita dining room
Kuna tatizo mkuu kwenye michoro?Una uhakika aliyechora ni msanifu majengo?
Hakuna tatizo, ni mchango wangu tu wa mawazo.Mkuu, lakini eye sight si inaangukia kwenye ukuta wa koridor? Eyesight haioni mlango wa vyumbani. Bado kuna tatizo hapo?
Duh hayari dirisha la masterbedroom ni 4m!!!Naiweka hapa picha inayoonekana vizuri zaidi.View attachment 2540684
Kumbe mzee wa kupambania tunawaza mwngi tuu sawa. Kweli maaterbedroom lazima iwe na madirisha pande mbiliHamisha hiko choo kwenye master bedroom hapo liwe dirisha lingine la master bedroom
Kuipa dirisha moja tayari ushaishusha heshima ya kuitwa master bedroom aiseeKumbe mzee wa kupambania tunawaza mwngi tuu sawa. Kweli maaterbedroom lazima iwe na madirisha pande mbili
Endelea mkuu na ulichoamua. Inaonekana tayari umeshafanya maamuzi. Ila tambua tu kwamba hii ramani iko na madhaifu mengi sana.1. Madirisha yapo kwenye kila chumba, naona alisahau kuyaweka kwenye hii draft.
2. Office na laundry kwa life style yangu ni muhimu. Sijui kwa nini umeshauri niviondoe!!!
3. Umesema niongeze ukubwa wa sitting room. Sitting room ya 4*6 meters ni ndogo? Mbona naona kama inatosha kabisa?
4. Nitaongeza kidogo dining, ila Jiko la 3*3 ni dogo?
Kwa nini unaumia ushauri wako ukiwa challenged?Endelea mkuu na ulichoamua. Inaonekana tayari umeshafanya maamuzi. Ila tambua tu kwamba hii ramani iko na madhaifu mengi sana.
Simlaumu mchoraji huenda tatizo ni wewe. Ubishi.
Sina muda wa kuandika sana, nyumba ni yako endelea.Kwa nini unaumia ushauri wako ukiwa challenged?
Unanishauri niondoe laundry na ofisi...
This is 2023 dude, kwa lifestyle yangu najengaje nyumba bila laundry na small ofice kwa mfano?
Halafu nikikupa facts nikwa nini siwezi kuziondoa unapanick... Unapanick nini?
Punguza makasirikoSina muda wa kuandika sana, nyumba ni yako endelea.