Ng'egera
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 766
- 419
Kwa waislam inatakiwa akae miezi minne na siku kumiKuna nchi fulani hivi...mke akifiwa HARUHUSIWI KUOLEWA na mtu mwingine ndani ya mwaka mmoja (tangu afiwe).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa waislam inatakiwa akae miezi minne na siku kumiKuna nchi fulani hivi...mke akifiwa HARUHUSIWI KUOLEWA na mtu mwingine ndani ya mwaka mmoja (tangu afiwe).
Umetumia uelewa wako wa dini ama kitaabibu kuandika hii comment?Ndio maana mungu akasema tusikaribie wala kufanya zinaa kwani ni uchafu kitaalam mwanamke ndiye anaetengeneza magonjwa ya zinaa kwani sehemu nyeti zake huifadhi shahawa hivyo zikikutana shaha wa za aina tofauti hukinzana na kusababisha bacteria ambao hutengeneza ugonjwa ndio maana uislam humtaka mwanamke kukaa eda mumewe anapofariki ili zile shahawa zilizohifadhiwa ziharibike na akiolewa tena aifadhi zingine mpya hivyo kutokuwa na mwingiliano na kusababisha ugonjwa
Uliwahi nini😵😵😵😀😀mhhh nimekupata hiyo nilikuwa naijua sana hasa wale wa kugongwa nyuma
Kuna mada niliiweka hapa siku kadhaa zimepita, nilihoji ni kwanini punde tu mtu akianza mapenzi huwa anabadilika?
1. Kwa nini mwanaume rijali kabisa ikitokea kwa bahati mbaya au kwa kutaka yeye aingiliwe kinyume- hata awe baunsa vipi lakini punde tu akimwagiwa "sperm" akili huanza kubadilika na kuwa mapozi ya kike?
2. Kwa nini binti akiwa bado kigori huwa ni shupavu na saa nyingine huaminika sana na wazazi na waweza mtuma mambo makubwa akayafanya kwa kujiamini tena huwa na nguvu lakini punde akianza kumwagiwa huu "ugirigiri" mtoto huwa hakamatiki tena?
3. Naendelea kuuliza kwa nini mtu akilawitiwa hulazimika kupigwa bomba hospitali (kusafishwa)?
4. Bado nahoji kwa nini wanawake wengi wakianza mapenzi hulegea na saa nyingine hata maamuzi ya kuvuka barabara kwao huwa ni kama watoto yaani waweza kumpigia honi apishe njia lakini utashangaa badala ya kusogea tu yeye atatoka kulia pembezoni avuke kuja kushoto Mara arudi yaani kama watoto " hiihuanza punde tu akianza kumwagiwa note! Si wote lakini asilimia kubwa!
5. Kwanini ma shoga ni vigumu sana kuachana na tabia hiyo wakianza?
MREJESHO!!
Moja ya Maelezo kutoka Kwa mtaalamu wa afya ya binadamu ameniambia kwamba shahawa hukusanywa na kuhifadhiwa kwenye kifuko maalumu ndani ya mfumo wa uzazi wa mwanaume, kifuko hicho hutunza shahawa kwa kiwango maalum cha joto, pia kasema endapo shahawa zikimwagwa ukeni au zikimwingia binadamu yeyote iwe kwenye njia sahihi au kinyume, kutokana na kupotea Kwa kiwango cha joto na majimaji yanazo zitunza, Basi shahawa hizo Huoza haraka, na kuanza kuwasha, hivyo humfanya aliyemwagiwa kutamani kukunwa tena na tena. Na ndiyo maana watu hawakamatiki wakishaanza mchezo huo,
Naomba kuwasilisha Wadau, KARIBUNI.
Sio Zinajaa matakoni kwa wanawakeKuoza? Ninachojua mm ikipita mda( <3dys) wa kuishi zinakufa NA zinatoka nje ya mwili wa aliyemwagiwa
Hazijai mkuu Bali kwa vile ni protein in nature zingine zinatumika kama virutubisho kujenga mwili zingne zinatolewa ..Sio Zinajaa matakoni kwa wanawake
Nimependa mchango wako, ila umeniacha gizan mahali... kuka "eda" ndio kukaa wapi huko mkuu?Ndio maana mungu akasema tusikaribie wala kufanya zinaa kwani ni uchafu kitaalam mwanamke ndiye anaetengeneza magonjwa ya zinaa kwani sehemu nyeti zake huifadhi shahawa hivyo zikikutana shaha wa za aina tofauti hukinzana na kusababisha bacteria ambao hutengeneza ugonjwa ndio maana uislam humtaka mwanamke kukaa eda mumewe anapofariki ili zile shahawa zilizohifadhiwa ziharibike na akiolewa tena aifadhi zingine mpya hivyo kutokuwa na mwingiliano na kusababisha ugonjwa
Alivyosema mtoa mada ni sahihi..Sio Zinajaa matakoni kwa wanawake
Eda ni muda maalum anaokaa mwanamke aliefiwa na mumewe ambao ni miezi minne na siku kumi na huambatana na baadhi ya masharti ikiwemo kuvaa nguo zenye rangi moja zisizo na malembo,kupakaa manukato,kutokuolewa kwa muda huo ndio inaitwa edaNimependa mchango wako, ila umeniacha gizan mahali... kuka "eda" ndio kukaa wapi huko mkuu?
Sisi wa imani tofauti kidogo tunapata shida kuelewa hapo.
Kwa nini wasilete mada zenye manufaa kama namna gani tutaboresha vipato vyetu kiafya ili tujadili hapa? mambo ya kishoga shoga tuu, acheni hizoooooMada nyingine sijui mnatoaga wapi
mkuu hili jukwaa huru ww kama unaona hazikufai si usepe tuu wanaume wengine bhana ndiyo maana tunawazibuagaKwa nini wasilete mada zenye manufaa kama namna gani tutaboresha vipato vyetu kiafya ili tujadili hapa? mambo ya kishoga shoga tuu, acheni hizooooo