BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
Nakumbuka niliwah kuleta thread nkiomba ushauri kuhusu kupanga....maana nilikuwa nafanya biashara stil nikiwa home maana ndo kwanza nilitoka chuo....sikuwa na ajira ndo nkaamua kujiajiri kwa biashara ya duka la reja reja
Uamuzi huu niliufikiria tangu mwaka jana..na nilihitaji kwanza biashara isimame ndipo nipange chumba
Nashukuru Mungu nilipokea maoni mengi mazuri...japo wengine walidhihaki ila sio mbaya..tupo hapa kujifunza
Nilichofanya kwanza nilipiga hesabu how ntapata pesa...maana kupanga inabd uwe na access ya kupata pesa ya kodi
Nikachunguza projects za kuweka huduma ya kuunganisha namba za tigo kuwa ya chuo
Pia nkaongeza huduma za kutoa hela kwa mitandao ya tigo...voda na airtel kupitia kampuni za mobistock na selcom
Nikafanya mpango pia wa kusajili airtel ili niingie kwenye mchongo wa airtel timiza akiba(hapa unaweka pesa kwenye akaunt ya timiza akiba...unaweka pesa kwa muda wa mwezi mzima bila kuitoa...ukija kuitoa baada ya mwezi wanakupa mara mbili ya pesa uloweka)
Baada ya hapo nikaongeza charger na kobe kwa ajili ya kchajisha sim kw 200/=
Baada ya kpiga hesab na kuona hzo project zna uhakikawa kunipa pesa ndipo wiki ilopita nikahamia kwenye maisha ya kujitegemea(maana baadh ya vitu nlishajipanga)
Niliingia kupanga nikitegemea ntapokea changamoto kwenye biashara...lakini imekuwa tofauti
Pesa mzunguko upo vizuri zaidi ya mwanzo...!!hela napata na inatosha kuliko kawaida
Kwa hli kwakweli namshukuru Mungu...!!
Pia napenda kuwaambia vijana wenzangu....tufanye kazi....tuweke mapenzi pembeni....wanawake tuewaweke nyuma....malengo tuyaweke mbele
Tukishazipata hko mbele na ukahisi kuwa sasa naweza kuweka upenyo kidogo wa mambo mengne ndpo uanze kuruhusu mtu aitwaye mpenz kuingia...(Neno langu sio sheria)
Sent using Jamii Forums mobile app
Uamuzi huu niliufikiria tangu mwaka jana..na nilihitaji kwanza biashara isimame ndipo nipange chumba
Nashukuru Mungu nilipokea maoni mengi mazuri...japo wengine walidhihaki ila sio mbaya..tupo hapa kujifunza
Nilichofanya kwanza nilipiga hesabu how ntapata pesa...maana kupanga inabd uwe na access ya kupata pesa ya kodi
Nikachunguza projects za kuweka huduma ya kuunganisha namba za tigo kuwa ya chuo
Pia nkaongeza huduma za kutoa hela kwa mitandao ya tigo...voda na airtel kupitia kampuni za mobistock na selcom
Nikafanya mpango pia wa kusajili airtel ili niingie kwenye mchongo wa airtel timiza akiba(hapa unaweka pesa kwenye akaunt ya timiza akiba...unaweka pesa kwa muda wa mwezi mzima bila kuitoa...ukija kuitoa baada ya mwezi wanakupa mara mbili ya pesa uloweka)
Baada ya hapo nikaongeza charger na kobe kwa ajili ya kchajisha sim kw 200/=
Baada ya kpiga hesab na kuona hzo project zna uhakikawa kunipa pesa ndipo wiki ilopita nikahamia kwenye maisha ya kujitegemea(maana baadh ya vitu nlishajipanga)
Niliingia kupanga nikitegemea ntapokea changamoto kwenye biashara...lakini imekuwa tofauti
Pesa mzunguko upo vizuri zaidi ya mwanzo...!!hela napata na inatosha kuliko kawaida
Kwa hli kwakweli namshukuru Mungu...!!
Pia napenda kuwaambia vijana wenzangu....tufanye kazi....tuweke mapenzi pembeni....wanawake tuewaweke nyuma....malengo tuyaweke mbele
Tukishazipata hko mbele na ukahisi kuwa sasa naweza kuweka upenyo kidogo wa mambo mengne ndpo uanze kuruhusu mtu aitwaye mpenz kuingia...(Neno langu sio sheria)
Sent using Jamii Forums mobile app