Mrejesho: Manunuzi ya mtandaoni (ebay)

Hivi kadi za nmb hazikubali huko ebay maana kila nikiingiza kadi number na security code naambiwa zimekosewa wakati nimehakiki zaidi ya mara tano
 
tax clearence inafanyikaje pia mbona nilisikia ebay hawaship tanzania
 
tax clearence inafanyikaje pia mbona nilisikia ebay hawaship tanzania
 
tax clearence inafanyikaje pia mbona nilisikia ebay hawaship tanzania
Anayeship siyo ebay.. Ni wauzaji wanaouza bidhaa zao hapo ebay.. Ebay ni platform inayowaunganisha wauzaji na wanunuaji wa bidhaa...
Ndani ya ebay kuna wauzaji wanaofanya international shipping wengine hawafanyi na wanaeleza wazi...
 
Anayeship siyo ebay.. Ni wauzaji wanaouza bidhaa zao hapo ebay.. Ebay ni platform inayowaunganisha wauzaji na wanunuaji wa bidhaa...
Ndani ya ebay kuna wauzaji wanaofanya international shipping wengine hawafanyi na wanaeleza wazi...
ok tax clearence inafanyikaje mkuu
 
tax clearence inafanyikaje pia mbona nilisikia ebay hawaship tanzania
tax clearence
- Assesment ya kodi hufanyika nchini baada ya kuwa mzigo umefika na umekaguliwa namamlaka husika, na courier wako ndio anawajibika kufuatilia, wewe utapewa ghalama unayotakiwa kulipia tu.
- Kupata mwanga kidogo jinsi kadi wana kokotoa kodi ingia hapa: Kukatwa kodi kwa mizigo

ebay hawaship tanzania?
- Ebay wapo wauzaji ambao hawatumi bidhaa kuja tanzania, na pia wapo wengine wanaotuma kuja tanzania
- Nini cha kufanya: Pindi unapokagua bidhaa husika hakikisha unaangalia pia kipengele cha shipping & payment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…