niwie radhi kama nakusumbua, kama niko sengerema inamaana mzigo wangu utatumwa sengerema na kodi nitafanyiwa assessment nikiwa sengerema?upon arrival of your parcel kwenye post yako utamkuta mtu wa TRA
Hatua ya kwanza: Fika benki waeleze kadi yako unataka itumika kufanya miamala mtandaoni, Utapewa fomu utajaza, Then utajulishwa kuwa iko tayari baada ya kusubiri kwa muda utakao elezwa.Mkuu ya kwangu nimeweka wamenambia this card is not accepted use another card sijui kwa nini labda kesho niwasiliane na watu wa bank
Nina hakika Mwanza Posta kuna wa TRA staff, wilayani sina hakika, Nakushauri tumia posta ya Mwanza. Mzigo ukifika wanakupigia simu uje kuchukua, Tumia poscode ya Mwanzaniwie radhi kama nakusumbua, kama niko sengerema inamaana mzigo wangu utatumwa sengerema na kodi nitafanyiwa assessment nikiwa sengerema?
thank youNina hakika Mwanza Posta kuna wa TRA staff, wilayani sina hakika, Nakushauri tumia posta ya Mwanza. Mzigo ukifika wanakupigia simu uje kuchukua, Tumia poscode ya Mwanza
Nashkuru mkuuHatua ya kwanza: Fika benki waeleze kadi yako unataka itumika kufanya miamala mtandaoni, Utapewa fomu utajaza, Then utajulishwa kuwa iko tayari baada ya kusubiri kwa muda utakao elezwa.
Hatua ya pili: Ingia paypal na link kadi yako - Watakata salio kidogo.
Hatua ya tatu: Rudi benki tena - Omba account statement, na utaona akato ya paypal sambamba na code kwa ajiri ya kufanyia verification cardi yako.
Hatua ya nne: Rudi paypal na ingiza code ulizopata kwenye account statement.
Benki zingine card zao hazina huomzunguko wote, Unachukua kadi ikiwa iko tayari kwamatumizi mtandaoni.
Ngoja wajuvi waje..Juzi nilienda crdb kwaajili ya kadi yangu kuanganishwa na online purchase. Sasa leo wamenitumia message wananiambia. Please register for VBV/Secure Code, wamenipa access code ili nitumie kwenye website yao, so wakuu hapo mm sijawaelewa wanataka nn naomba msaada kwenye tuta.
HahahMmh namba tena usije ukawa ni member wa mjengoni..
Naiona hii kuwa option nzuriMimi huwa nanunua mara nyingi sana online kutoka Amazon. Issue ya kuibiwa ilikuwa unanipa wasi wasi sana.
Ninachofanya ni kuwa makini tu na emails za pale nitakaponunulia iwe Amazon, ebay ama Alibaba.
Pia kwa sababu ya uoga, nilifungua account special ninayotumia manunuzi ya online. Nikitaka kununua kitu basi huweka kiasi kinachotakiwa pekee huko. Kawaida huwa situnzii pesa zangu huko (najua ni uoga wangu huo lakini I hope huwa unanisaidia hata kama wadukuaji wakichungulia wanakuta zero).
Vipi gauni ni 2.5$ na shipping cost 6.23$. Je hii inamaana kuwa gauni hadi lifike Tz gharama Itakuwa ni 8.73$ ? Pia na TRA Je? Gharama si kubwa. Em nisaidie nijue cz nataka nifanye biashara, nimechoka kutegemea mshahara.
Ukatumwa tarehe 16 na leo umefika..
NILICHOJIFUNZA
...
KUHUSU ZIP CODE NA POSTAL CODE
Hizi zisiwasumbue.. Andika detail zako za nchi, mkoa na wilaya, na code yetu pendwa ya +255 plus jina lako kamili trust me mzigo wako utafikishwa posta kuu ya mkoa wako na watu wa posta watakupigia simu uufate mzigo wako mara unapofika.. Hasa wakituma kwa register.. Usiandike P. O. BOX kwani wengine huwa hawataki mtu atumie P. O. Box.
Cheki vizur waweza pata ambayo yana fre shipping cost.. Na mengine usipokuwa makini unaweza ukajikuta umejicommit kubuy bidhaa yenye shipping cost ata 90usd wakati kitu hcho kinauza dola 1."so kuwa makini kuangalia gharamaVipi gauni ni 2.5$ na shipping cost 6.23$. Je hii inamaana kuwa gauni hadi lifike Tz gharama Itakuwa ni 8.73$ ? Pia na TRA Je? Gharama si kubwa. Em nisaidie nijue cz nataka nifanye biashara, nimechoka kutegemea mshahara.
Poa asanteCheki vizur waweza pata ambayo yana fre shipping cost.. Na mengine usipokuwa makini unaweza ukajikuta umejicommit kubuy bidhaa yenye shipping cost ata 90usd wakati kitu hcho kinauza dola 1."so kuwa makini kuangalia gharama
Paypal inakuwaje mkuuWengine hupenda kutumia pia 25522 kama msimbo wa posta wao. Mimi pia nilikuwa nautumia huohuo. Tatizo ni kwamba barua ikija posta inapelekwa kwenye P.o. Box 255 au 25522. Najuaje? Nilishawahi kuitwa na mwenye sanduku moja ya hayo kuniletea kipaseli changu. Toka siku hiyo naweka anuani yangu ya posta kama post code. Na hata kama nafahamu msimbo wa posta wa ukweli (angalia Postcode List) lakini siutumii bado.
Kuhusu kununua mitandaoni, ni njia ya uhakika. Matatizo machache (bidhaa feki, jina la orijino, hasa vifaa vya elektroniki, kutoka nchi fulani ya Mashariki ya Mbali).
Uchumi wa Marekani ulishahama kutoka kwenye viwanda kwenda kwenye huduma. Matokeo yake huduma zitolewazo ni bora sana kwa vile ushindani ni mkali. Jitahidi kukwepa kutumia credit card yako kufanyia miamala pale inapowezekana tumia Paypal au huduma zifananazo nayo.
Daniel Schulman: Tanzanians need to receive funds via PayPalPaypal inakuwaje mkuu