- Ndio inawezekana iwapo tu kadi yako ilikuwa tayari imewezeshwa kufanya manunuzi mtandaoni.Kama umepoteza kadi ya benki ya master au visa mtu anaweza tumia hio card kufanya manunuz mtandaoni
> Fahamu Jinsi ya Kulink/Kuregister Paypal account TanzaniaPaypal akaunti yake inafunguliwaje na inatumikaje kufanya transactions manake naona watu wengi wanadai kufanya manunuzi via paypal
Shukrani kiongozi
Zipcode / postal code - Ni kitu kimojaMkuu hapo kwenye zipcode nnatuima +255!!? Maana nlienda posta kuulza wakanambia nitumie postal code ya mkoa...ambayo kwa nilipo sasa hv (Dodoma) ni 41000
Hivyo popote ukiona haya maneno: postal code/ postcode/ ZIP Code - Yote yanamaanisha kitu kimojaQUESTION:
What's the difference between Zip Code and Postal Code
ANSWER:
The two codes are essentially the same in their purpose, but the term Zip code is mainly used in the USA; Postal Code is commonly used in other countries.
SureNi bora ununue kitu kwa bei reasonable lakini unapata guarantee ya usalama kuliko kununua cheap product alaf wakahack acount yako..
hapa kwenye magari ndo wawe makini zaidi maana kuna issue ya TRA na maswala ya clearance ambayo lazima uyajue na lazima ulipieUnunuzi wa magari unautaratbu wa tofauti.. But ukinunua unapata
Mkuu hii ni app gani umetumia?View attachment 494868
- Mzigo wako umefika tangu tarehe: 06 Feb. 2017
- Courier wa mzigo wako alikuwa: 4PX Track
- Courier website husika ni: 4PX Worldwide Express
- Ni jukumu lako kufuatilia mzigo huenda ukaupata
- Kwa usaidizzi wa KUNUNULIWA bidhaa na KUSAFIRISHIWA bidhaa PITIA hii thread www.v.ht/buy4me li kujifunza zaidi
Ilichukua mda gani kuipata tangu uiagizeWadau kwema? Kwa dhati nishukuru thread hii kwani niliweeza kuagiza simu aina ya Motorola moto x play na kunifikia salama kabisa...ila shida ni namna ya kuswitch 4g LTE inagoma licha ya kuwa na uwezo huo wa 4g ..msaada tafadhali
Ulinunulia alibaba au ebay.vp usajili wake unafanyaje mkuu unatakiwa uwe na nin ili uweze kuagiza14 days
Ukatumwa tarehe 16 na leo umefika..
NILICHOJIFUNZA
1. Wakati mwingine woga wetu ndio unaotufanya kuwa nyuma kimaendeleo.. Dunia ya sasa imekua kijiji unaweza pata bidhaa yeyote toka ulimwengu wowotena kwa bei rahisi cha msingi ni kutumia njia sahihi wakati wa manunuzi..
2. Wizi wa pesa kwenye acount.. Kuna wakati nilikua na wasi wasi kwamba uenda jamaa wangenipiga ela zangu kwenye acount.. Hii si kweli jamaa wa ebay wapo makini sana hasa hasa ukiwa na acount ya paypal yani chagua bidhaa ebay lakini lipa kwa kutumia paypal..
Kuna jamaa mmoja alikweka bidhaa kiwizi wizi nikainunua jamaa wa paypal walipogundua wakamblock jamaa na fedha zangu zikarudishwa kwenye acount yangu.. Haijalishi ni kiasi gani kitarudishwa..
View attachment 489334
KUHUSU ZIP CODE NA POSTAL CODE
Hizi zisiwasumbue.. Andika detail zako za nchi, mkoa na wilaya, na code yetu pendwa ya +255 plus jina lako kamili trust me mzigo wako utafikishwa posta kuu ya mkoa wako na watu wa posta watakupigia simu uufate mzigo wako mara unapofika.. Hasa wakituma kwa register..
Usiandike P. O. BOX kwani wengine huwa hawataki mtu atumie P. O. Box.
2. Kuna vingine vingi ambavyo ukiwa interested unaweza jifunza cha msingi tuache woga.
- Ndio huwa inatokea, na tegemea kuupata mzigo baada ya wiki 4 hadi 7.Hivi huwa kuna mizigo inatumwa pasina kuwa na tracking number?
Shukrani Mkuu, nimekusomaInashauriwa kabla ya kunua bidhaa ebay uwe umejiridhisha kuhusu huyo seller.
Na ikibidi ni vyema kwanza ukawasiliana naye ili kujua njia ya usafirishaji na maswala ya tracking number.
- Ndio huwa inatokea, na tegemea kuupata mzigo baada ya wiki 4 hadi 7.
- Epuka FREE shipping za ebay thamani ya item kama ni ndogo basi hakuna tracking number.
- Ila pia hakikisha unasoma TOS za ebay kuhusu urudishaji wa fedha pindi mzigo haujafika ndani ya siku stahiki.
Kwa wanao anza manunuzi mtandaoni ni vyema wakatumia zaidi aliexpress na chagua standard shipping ili mzigo wako ufike mapema na ukiwa na tracking number