Mrejesho: Manunuzi ya mtandaoni (ebay)

Mrejesho: Manunuzi ya mtandaoni (ebay)

Zinafika ila uhakika sio mzuri kama kwa ulaya na marekani. Ebay na Amazon ni kama kupatana tu, hawatoi huduma za shipping Afrika, so your own risk.
Kuna zile shadow address za US;
Yaani unaingia kwenye site ya Post Office unafanya registration ya Account na unalipia kidogo....

So ukinunua vitu Marekani na Ulaya unatumia hiyo Address vitu vikifika hapo then wale watu wa Posta wanakutumia Africa

Nimeona watu wengi wanafanya hivyo japo sijajaribu.
Nina mpango wa kufanya hivyo maana vitu vya Ulaya na Marekani ninazikubali zaidi quality zake
 
Binafsi nina shop sana na EBay....
Na nipo mkoani huku ila vitu vinafika poa kabisa ila address yangu niliweka P.O.Box ;
Kwa ushauri wako nitarekebisha nianze kutumia Code +255.

Ila kuna changamoto nimepata Amazon nimenunua kitabu ila hakifiki,
Nikawasiliana na watu wao wa Customer Service ila wakasema wanatuma tena ila mpaka sasa hola na ETA ilikuwa Feb 15.....
Sijui nini ilikuwa mbaya
Hawakukupa track number?
 
Kuna zile shadow address za US;
Yaani unaingia kwenye site ya Post Office unafanya registration ya Account na unalipia kidogo....

So ukinunua vitu Marekani na Ulaya unatumia hiyo Address vitu vikifika hapo then wale watu wa Posta wanakutumia Africa

Nimeona watu wengi wanafanya hivyo japo sijajaribu.
Nina mpango wa kufanya hivyo maana vitu vya Ulaya na Marekani ninazikubali zaidi quality zake
Nafikiri kuna mdau humu anafanya hzo mishe anaitwa mwalimu
 
Kuna zile shadow address za US;
Yaani unaingia kwenye site ya Post Office unafanya registration ya Account na unalipia kidogo....

So ukinunua vitu Marekani na Ulaya unatumia hiyo Address vitu vikifika hapo then wale watu wa Posta wanakutumia Africa

Nimeona watu wengi wanafanya hivyo japo sijajaribu.
Nina mpango wa kufanya hivyo maana vitu vya Ulaya na Marekani ninazikubali zaidi quality zake
Najua yote hayo, ila issue ya kutapeliwa ni halisi.
 
Binafsi nina shop sana na EBay....
Na nipo mkoani huku ila vitu vinafika poa kabisa ila address yangu niliweka P.O.Box ;
Kwa ushauri wako nitarekebisha nianze kutumia Code +255.

Ila kuna changamoto nimepata Amazon nimenunua kitabu ila hakifiki,
Nikawasiliana na watu wao wa Customer Service ila wakasema wanatuma tena ila mpaka sasa hola na ETA ilikuwa Feb 15.....
Sijui nini ilikuwa mbaya
Kama vinakufikia haina shida.. Kuna seller wengine hawataki kabisa kusikia mambo ya P. O. Box so hiyo code ndo unaweza tumia
 
M nmtumiaji mzr wa ebay, nmekuwa nikaagiza vitu vingi vinafika salama kabisa, na vispofika uki compalin wana ku refund fasta ishanitokea, hofu ilikuja pale nlipoa kuwa napigiwa simu toka Uingereza, na India wakidai ni ma managers wa Baclays wakitaka kujua kama kweli account n yangu, na hii ilikuwa iktokea pale na potaka kfanya malipo, either unakuta acount ina pesa kidogo au kwenye loggin ya Pay pal.
 
Ukatumwa tarehe 16 na leo umefika..
NILICHOJIFUNZA
1. Wakati mwingine woga wetu ndio unaotufanya kuwa nyuma kimaendeleo.. Dunia ya sasa imekua kijiji unaweza pata bidhaa yeyote toka ulimwengu wowotena kwa bei rahisi cha msingi ni kutumia njia sahihi wakati wa manunuzi..
2. Wizi wa pesa kwenye acount.. Kuna wakati nilikua na wasi wasi kwamba uenda jamaa wangenipiga ela zangu kwenye acount.. Hii si kweli jamaa wa ebay wapo makini sana hasa hasa ukiwa na acount ya paypal yani chagua bidhaa ebay lakini lipa kwa kutumia paypal..
Kuna jamaa mmoja alikweka bidhaa kiwizi wizi nikainunua jamaa wa paypal walipogundua wakamblock jamaa na fedha zangu zikarudishwa kwenye acount yangu.. Haijalishi ni kiasi gani kitarudishwa..
View attachment 489334
KUHUSU ZIP CODE NA POSTAL CODE
Hizi zisiwasumbue.. Andika detail zako za nchi, mkoa na wilaya, na code yetu pendwa ya +255 plus jina lako kamili trust me mzigo wako utafikishwa posta kuu ya mkoa wako na watu wa posta watakupigia simu uufate mzigo wako mara unapofika.. Hasa wakituma kwa register.. Usiandike P. O. BOX kwani wengine huwa hawataki mtu atumie P. O. Box.
2. Kuna vingine vingi ambavyo ukiwa interested unaweza jifunza cha msingi tuache woga.
kufungua account ya paypall inakuaje process na gharama,mm mwenyewe nimeona n ushenzi kila siku nataman niagizie ila nimekua naogopa
 
Usipokuwa makini utalizwa hackers wapo.. Na kuna njia ya kuwatambua... Mara nyingi hacker wanakutumia email zinazofanana na za ebay na link link za ajabu ukizifungua hzo link ndo mwanzo wa kuibiwa.. Ebay hawatumi email zenye link au attachments.. Mfano hii hapa ni email ya hacker
View attachment 489341
Hyo @ kabla ya ebay inaonyesha kwamba imetoka kwa hacker.
soo key diff ya email from hacke na ya from ebay n nn?
 
kufungua account ya paypall inakuaje process na gharama,mm mwenyewe nimeona n ushenzi kila siku nataman niagizie ila nimekua naogopa
Ni free.. But kuwa makini hakikisha unafungua acount kwenye official site ya paypal.. Siyo kila site yenye neno paypal au ebay ni official..
 
Mkuu napata ugumu kufungua paypal kwa hapa tz...nafanyaje tafadhali
 
Ukitaleliwa ela yako inarudishwa kwenye acount.. Kwa ebay seller hapewi ela yake mpaka bidhaa imfikie buyer... Hasa ukitumia paypal.. Angalia huko juu mm nilirudishiwa dola tano.. Baada ya seller kuiondoa bidhaa sokoni wakat mm nmeshalipia..
kwa dhana hii nimeanza kuwaamin ebay, ya km kumbe seller hapew hela mpk wewe mzigo uupate, bigup sanaa
 
Back
Top Bottom