Mrejesho; Miaka minne ya mateso sasa nimepona

Mrejesho; Miaka minne ya mateso sasa nimepona

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
2,582
Reaction score
4,554
Habari wanaJF

Mwaka jana nilileta uzi kuomba msaada baada ya masiku ya kuhangaika na kukosa msaada kwa takriban miaka mitatu. Tatizo lilikuwa kukosa nguvu za kiume baada ya kuchepuka na aliekuwa mke wa mtu hatimae kukosa hamu ya tendo.

Kwanza kabisa niwashukuru wana jf kwa michango yenu kuna waliokuja pm na kunishauri nini nifanye na kuna walioguswa na tatizo langu na kunipa pole wote kwa pamoja nasema ahsanteni na nawashukuru.

Sasa baada ya kuhangaika sana na kufuata ushauri wa baadhi ya watu nimefanikiwa kupona japo sitasema niponea wapi litaonekana kama tangazo ila kiuhalisia nimepona na napiga shoo kama kawaida.

Ahsanteni sana
 
Ina maana utamu mlipata wote lakini nguvu za kiume zikakuishia wewe tu

DJ walete wanaume na ile nyimbo wanaume mmeumbwa mateso
Ni mateso mkuu ila nashukuru nimepona
 
FB_IMG_1705001060159.jpg


Kwahiyo unavimba hapo mjini kwa kurejeshewa nguvu zako za kike
 
Hivi kukosa nguvu na kiume ni ugonjwa? Mbona ni Jambo la kheri Hilo. Kwanza utakua huchukui Sheria mkononi, changudoa hutakua na habari nao, hutahonga, hata ukiona mwanamke mwenye tako itakua haikusumbui,huna hofu ya ukimwi au Gono au UTI sugu. wewe Ni beer zako na muziki na DSTV full ili usipitwe na mechi Kali za UEFA, PL , LA LIGA , NA HIZI ZA NDANI.
Yaani ulikua uko vizuri kweli kweli.
 
Naomba utukumbushe ule uzi wa mwanzo.
Nahisi nilichangia
 
 
Habari wana jf

Mwaka jana nilileta uzi kuomba msaada baada ya masiku ya kuhangaika na kukosa msaada kwa takriban miaka mitatu. Tatizo lilikuwa kukosa nguvu za kiume baada ya kuchepuka na aliekuwa mke wa mtu hatimae kukosa hamu ya tendo.

Kwanza kabisa niwashukuru wana jf kwa michango yenu kuna waliokuja pm na kunishauri nini nifanye na kuna walioguswa na tatizo langu na kunipa pole wote kwa pamoja nasema ahsanteni na nawashukuru.

Sasa baada ya kuhangaika sana na kufuata ushauri wa baadhi ya watu nimefanikiwa kupona japo sitasema niponea wapi litaonekana kama tangazo ila kiuhalisia nimepona na napiga shoo kama kawaida.

Ahsanteni sana
Hongera kwa kupona mkuu bila shaka umepata fundisho hutarudia tena ujinga
 
Back
Top Bottom