Mrejesho; Miaka minne ya mateso sasa nimepona

Mrejesho; Miaka minne ya mateso sasa nimepona

Acha kusema hili sio tangazo wakati ni tangazo. Unatufanya mazombi sisi sio?

Hatuji pm wala nini
Wewe tu mkuu sikulazimishi uamini mimi nimeleta mrejesho wa tatizo nililoomba msaada humu kwanini sisitoe shukran kwa waliotoa mawazo yao
 
Punguzeni ujuaji basi, MTU kaleta feedbacks watu mnaanza kuleta ujuaji haipendezi mbona hii JF ninataka kuwa darasa la Watoto wa Nursery?
 
Punguzeni ujuaji basi, MTU kaleta feedbacks watu mnaanza kuleta ujuaji haipendezi mbona hii JF ninataka kuwa darasa la Watoto wa Nursery?
Ila wewe ukiwa unaandika ule ujinga wako huwa uko kindergarten? Acha unafiki
 
YOYOTE MWENYE KESI MAHAKAMANI NA ANATAKA USHINDI NJOO. HUTOJUTA
 
Una ushauri gani kwa sisi ambao bado tuna dunda tu na nyapu za wake za watu?
 
Hii sio biashara inatangazwa? Kuna watu watapigwa sasa hivi, asante mafunzo ya Cuba
Unawaza ninachokiwaza mimi. Kuna wengi watamtumia private msg ''kumbembeleza na kumsihi'' awaambie aliponaje. Na hao ndiyo anawatafuta na ndiyo lengo lake.
 
io mbon ata sie wadada inatukuta
 
Kwangu ilikuwa ajari kama ajari zingine ila pia hakuwa mke wa mtu alishaachana na mmewe kisheria ila mwamba hakukubali yaishe ikawa ivo kwaiyo sikushauri ufanye na mke wa mtu hasa kama unajua ni mmke wa mtu
Una ushauri gani kwa sisi ambao bado tuna dunda tu na nyapu za wake za watu?
 
Unawaza ninachokiwaza mimi. Kuna wengi watamtumia private msg ''kumbembeleza na kumsihi'' awaambie aliponaje. Na hao ndiyo anawatafuta na ndiyo lengo lake.
It's up to you mkuu, mimi nilicholeta ni mrejesho labda nilitakiwa nisilete baada ya uzi wangu wa kwanza kuelezea tatizo langu ndio unaniambia sasa kwa siku nyingine sitaleta ili lisiwe tangazo

Sikatai kuwa humu mna matapeli kwaiyo umakini lazima uwepo kwani hata wakati naomba msaada kuna wengine walikuja pm kwa lengo la kunitapeli
 
nguvu za kike zinatusumbua sana,,unaeza kua unasex ili tu kumridhisha mwenzio ila hufeel chochote na wapo weng sana saivi
Duuh, kwa mwanamke kunatafsirika kuwa ni kukosa hamu ya tendo kwani huwa hamtumii nguvu yoyote kwenye lile tendo kama mwanaume
 
Back
Top Bottom