MREJESHO: Msukuma Msomi nimepata Mke JamiiForums

I was just about to come out with the same testimony before things melted down on my hands.
Testimony that you got somebody from jf or testimony you got msukuma msomi of jf?
 
Wasukuma bwana jambo dogo wanalifanya kuwa kuubwaaaaa.

Mimi mwenzako nilimpata binti 2go hadi sasa tuko nae wewe jf tu umeandika na risala
 
Ayse kweli yamekupanda kichwani mahaba mubashara ila sawa Hongera sana

Mungu awatangulie ktk maandalizi mema ya kufunga ndoa.

Note:
Mirejesho mingne inayoendelea plz usilete ili tubakie kuju kuwa bdo ndoa ni tam.
Asante.
 
mnaharibu jina la neno ''MKE''

Umepata mpenzi mkuu wangu
 
Good job brother 🙂 kwa wale pia wanaotafuta wa kizungu wanaweza kuwapa hapa kwenye hii website
www.backpage.com ikishafunguka ingia kwenye personal click utaona warembo wa kizungu ila ni wa nchi za nje tuu .iko upande wa kulia kwako ,
We genius kaka,roho yangu imesuuzika vilivyo
 
mtumie sasa uzazi wa mpango si unajua maisha term hii pia isaidie serikali kubalance watu iwamudu,hata kama ni mkristu futa ile "tukaijaze dunia"kwa maana imeshajaa sasa...
NAWATAKIA MAPENZI MUBASHARA

jamaa alishatoa maagizo tufyatue tu kwamba wakizaliwa mali ya serikali inakua
 
Na kwakuwa sisi ndio tumekupa huyu mke , tuanakuasa bw mdogo tambua jukumu la chakula ,afya na malazi ni lako 100% mshahara wake haukuhusu. Usimuonje mtoto wa watu kabla hujatoa mahali na kufunga ndoa.
 
Hongera kwa kumpata msukuma mwenzako....naamini kwa kuwa wote ni wasukuma hivyo mapenzi yenu yatakuwa busharaaaa!
 
Du,mbona kama sijaelewa vile!!!Umetuaminisha kuwa umepata mke mwema ajabu ukasisitiza kuwa mnatarajia kwenda kwa wazazi kutambulishana mbona naona kama ni kile kipindi chetu pendwa cha lugha gongana!!!Maana nimesoma kwa makini andiko lako nikitegemea kujuwa ndoa imefungwa lini maana uchumba umesema ni mbele kwa mbele.Umri huna haja nao hata akilingana na mama yako twende tu,okay ni mawazo mazuri nakupongeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…