MREJESHO: Msukuma Msomi nimepata Mke JamiiForums

MREJESHO: Msukuma Msomi nimepata Mke JamiiForums

mpe kichwa akija kulia baadae utajamfuta machozi kwa kumsaidia kuwalea watoto wake walau wawili
Mkuu, sioni mahali nilipokuvunjia heshima, ila nilitaka kukwambia tu kuwa nina uwezo wa kulea watoto wangu. Asante.
 
Hizi habari uwa siziamini mi niliweka bandiko hata like sikupata
Msomi tajiri ulitumia ID gani kuweka hilo bandiko. Nilitaka kulipitia halafu nilinganishe na lile la msomi mwenzako.

Msomi msukuma anajua kutafuta, nenda kasome lile tangazo lake na wewe ujifunze, kuna madini tupu. Ningekua na dada ambaye hajaolewa ningempa amuoe, na kazi amtafutie.
 
PS: Kwa mnaotusema vibaya, kwamba haiwezekani kufall in love ndani ya wiki 2, endeleeni na imani zenu. Naomba msubiri picha na kadi za mialiko ya harusi. Pia nipo kwenye mawasiliano na uongozi wa JF kuhusu utaratibu uliopo wa kuconfirm couple wa JamiiForums. Mimi na mwenzangu tunaamini upendo ni upendo, hauna kipimo cha muda. Kama wewe unaamini ni lazima ukae miezi 2 au 6 ndio ujue kuwa flani ni mke/mme wako. Follow what you believe, don't judge others.
Hayo ni ya kwako ila kumbuka hizi ni nyakati zingine kabisa.
Pia hongera kwenye kadi usinisahau.
 
Habari wana JF,

Kwa mnaokumbuka thread yangu ya kutafuta mke:
Nimefikia muda kuwa na Familia, kwa aliye tayari kwa Ndoa ajitokeze

Nimerudi kuwakushukuru, nimepata mke mwema wa kufanana nae, ninamshukuru Mungu sana, asanteni kwa michango yenu, asanteni kwa wanaume wenzangu mlionifata inbox na kunishauri niwe makini, asanteni kwa kina dada wote waliojitokeza, inshallah Mungu atawapeni wa kufanana nae.

Dada huyu ni member wa muda mrefu hapa JamiiForums, na hadi leo siamini kuwa mimi ndie mume wake mtarajiwa, kwahiyo inbobo zenu mnazomtumia mjue pia mimi ninazisoma, maana hatufichani lolote tena hadi sasa.

Wote ni wakristo, na mpango wetu ni kwenda kutambulishana kwa wazazi. Licha ya tofauti zetu kama vile za kiuchumi, umri, malezi, career, n.k., kwakweli we are in love and 'yo can't tell us anyting' 🙂

I love you coco. I know you are reading me. Nakupenda hadi moyo unasukuma damu kimadoido. Nakupenda hadi kazini wameshtuka kwamba I met someone kwasababu whenever I receive your text message, or a lunch invitation, natabasamu kwa furaha kubwa. Nakupenda mamii.

Wako,
Msukuma Msomi.

PS: Kwa mnaotusema vibaya, kwamba haiwezekani kufall in love ndani ya wiki 2, endeleeni na imani zenu. Naomba msubiri picha na kadi za mialiko ya harusi. Pia nipo kwenye mawasiliano na uongozi wa JF kuhusu utaratibu uliopo wa kuconfirm couple wa JamiiForums. Mimi na mwenzangu tunaamini upendo ni upendo, hauna kipimo cha muda. Kama wewe unaamini ni lazima ukae miezi 2 au 6 ndio ujue kuwa flani ni mke/mme wako. Follow what you believe, don't judge others.
Ushakula mzigo?ujue kama yaliyomo yamo.
 
Dah.... Mbio ndefu ujanja wake ni kuanza mdogomdogo..... Ukianza kasi kwa sifa hata Ubungo haufiki.... Ulimi nje [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Habari wana JF,

Kwa mnaokumbuka thread yangu ya kutafuta mke:
Nimefikia muda kuwa na Familia, kwa aliye tayari kwa Ndoa ajitokeze

Nimerudi kuwakushukuru, nimepata mke mwema wa kufanana nae, ninamshukuru Mungu sana, asanteni kwa michango yenu, asanteni kwa wanaume wenzangu mlionifata inbox na kunishauri niwe makini, asanteni kwa kina dada wote waliojitokeza, inshallah Mungu atawapeni wa kufanana nae.

Dada huyu ni member wa muda mrefu hapa JamiiForums, na hadi leo siamini kuwa mimi ndie mume wake mtarajiwa, kwahiyo inbobo zenu mnazomtumia mjue pia mimi ninazisoma, maana hatufichani lolote tena hadi sasa.

Wote ni wakristo, na mpango wetu ni kwenda kutambulishana kwa wazazi. Licha ya tofauti zetu kama vile za kiuchumi, umri, malezi, career, n.k., kwakweli we are in love and 'yo can't tell us anyting' 🙂

I love you coco. I know you are reading me. Nakupenda hadi moyo unasukuma damu kimadoido. Nakupenda hadi kazini wameshtuka kwamba I met someone kwasababu whenever I receive your text message, or a lunch invitation, natabasamu kwa furaha kubwa. Nakupenda mamii.

Wako,
Msukuma Msomi.

PS: Kwa mnaotusema vibaya, kwamba haiwezekani kufall in love ndani ya wiki 2, endeleeni na imani zenu. Naomba msubiri picha na kadi za mialiko ya harusi. Pia nipo kwenye mawasiliano na uongozi wa JF kuhusu utaratibu uliopo wa kuconfirm couple wa JamiiForums. Mimi na mwenzangu tunaamini upendo ni upendo, hauna kipimo cha muda. Kama wewe unaamini ni lazima ukae miezi 2 au 6 ndio ujue kuwa flani ni mke/mme wako. Follow what you believe, don't judge others.
Ushakula mzigo ujue kama yaliyomo yamo?
 
Msomi mbona umekua difensive hivyo; huo ujumbe ulimlenga Mdomo bakuli. Hata hivyo umepost ujumbe mmoja kama mara tano hivi, mara moja ingetosha.

Calm down mkuu.

You dont have to answer to anyone here.
Ni ujumbe mmoja kwa watu tofauti, wewe ndio umeusoma mara 5. Sijapanic kabisa, nisome tena.
 
Habari wana JF,

Kwa mnaokumbuka thread yangu ya kutafuta mke:
Nimefikia muda kuwa na Familia, kwa aliye tayari kwa Ndoa ajitokeze

Nimerudi kuwakushukuru, nimepata mke mwema wa kufanana nae, ninamshukuru Mungu sana, asanteni kwa michango yenu, asanteni kwa wanaume wenzangu mlionifata inbox na kunishauri niwe makini, asanteni kwa kina dada wote waliojitokeza, inshallah Mungu atawapeni wa kufanana nae.

Dada huyu ni member wa muda mrefu hapa JamiiForums, na hadi leo siamini kuwa mimi ndie mume wake mtarajiwa, kwahiyo inbobo zenu mnazomtumia mjue pia mimi ninazisoma, maana hatufichani lolote tena hadi sasa.

Wote ni wakristo, na mpango wetu ni kwenda kutambulishana kwa wazazi. Licha ya tofauti zetu kama vile za kiuchumi, umri, malezi, career, n.k., kwakweli we are in love and 'yo can't tell us anyting' 🙂

I love you coco. I know you are reading me. Nakupenda hadi moyo unasukuma damu kimadoido. Nakupenda hadi kazini wameshtuka kwamba I met someone kwasababu whenever I receive your text message, or a lunch invitation, natabasamu kwa furaha kubwa. Nakupenda mamii.

Wako,
Msukuma Msomi.

PS: Kwa mnaotusema vibaya, kwamba haiwezekani kufall in love ndani ya wiki 2, endeleeni na imani zenu. Naomba msubiri picha na kadi za mialiko ya harusi. Pia nipo kwenye mawasiliano na uongozi wa JF kuhusu utaratibu uliopo wa kuconfirm couple wa JamiiForums. Mimi na mwenzangu tunaamini upendo ni upendo, hauna kipimo cha muda. Kama wewe unaamini ni lazima ukae miezi 2 au 6 ndio ujue kuwa flani ni mke/mme wako. Follow what you believe, don't judge others.
Mara inshallah Mara ss wote ni Wa kristo acha fiksi Mkuu au una mdanganya DADA wa watu? Kama kweli mkristo tutajie kanuni ya imani[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Aaah wasukuma bwana muwe mnakuja mjini mapema mnaniabisha watani zangu.
 
PS: Kwa mnaotusema vibaya, kwamba haiwezekani kufall in love ndani ya wiki 2, endeleeni na imani zenu. Naomba msubiri picha na kadi za mialiko ya harusi. Pia nipo kwenye mawasiliano na uongozi wa JF kuhusu utaratibu uliopo wa kuconfirm couple wa JamiiForums. Mimi na mwenzangu tunaamini upendo ni upendo, hauna kipimo cha muda. Kama wewe unaamini ni lazima ukae miezi 2 au 6 ndio ujue kuwa flani ni mke/mme wako. Follow what you believe, don't judge others.
We toa povu lakini uje na picha za arusi
 
Mara inshallah Mara ss wote ni Wa kristo acha fiksi Mkuu au una mdanganya DADA wa watu? Kama kweli mkristo tutajie kanuni ya imani[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
No Comment.
 
Back
Top Bottom