utableedinapatikana wapi hiyo giligilani mkuu,hakuna namna lazima hiki kitambi nikiondoe,kinanikera kweli
Duhhhndio hilo.jani shenzi sana kumbe .nashangaa dokta mwaka alikuwa anashauri liwekwe kwenye papuchi iwe tamu
Ni kweli mkuu, pia Zoezi Iwe ni moja wapo ya maisha yako, sio unafanya Zoezi mwezi mmoja tu unaacha.Uzito umenitesa sana,lakini siri ni moja tupo(mazoezi)na nidhamu ya msosi,vyakula vya wanga ni hatari ,sukari ni hatari,,mtu anataka apungue ndani ya siku 30 haiwezekani ,inatakiwa iwe ni tabia yako kufanya mazoezi na kula kiasi.
natumia sana hili jani kwenye saladi,pilau nk ila huwa ni kidogo narushia majani kiasi.Duhhh
Mkuu mimi natumia coriander karibu kila siku kupikia ama decoration tu kwenye chakula . Coriander inasaidia sana na madini ya chuma, (iron) vitamin C, Vitamin K, potassium na kuna watu wanasema inawasaidia ku control blood sugar.
Sasa sijui kama kweli wewe ulikuwa unatumia coriander au jani lingine.
natumia sana hili jani kwenye saladi,pilau nk ila huwa ni kidogo narushia majani kiasi.
kwenye hii issue nilichemsha kama chai nikanywa vikombe viwili kila siku .ndo majanga yaliponipatia
asanteni mkisikia nimekufa msishangae
Nitafanya hivyo pia.mrejesho muhimu...
yaani nimkute mtu anakula utamu wake mimi nikonde? si ujinga huo mkuuMfumanie mpenzi wako utapungua fast wala hakun garama ndani ya wiki tu
Na mimi kaka..na ukiharisha sana mpaka sehemu ya kutolea haja kubwa nasikia huwa kunakuwa kama kunawaka moto.... sasa hapo sijui dada angu unafanyaje. anyway nilishawah kukwambia nina namna ya kumfanya mtu apunguze uzito kwa njia salama kabisa ya mazoezi na chakula atakula ila si kiasi au namna ile ya mwanzo .hukutilia maanani dada yangu. hizo dawa za kupunguza kwa kuharisha ni tatizo msitumie mtakuja kufa bila malipo yaani bure kabisa.
ukipona nitafute tupeane maelekezo.wala sitohitaji pesa toka kwako zaidi ya wewe tu kunisikiliza na kuwa tunafanya mazoezi wote kwa njia ya simu jioni na asubuhi.kwa kufuata tu maelekezo nusu saa inatosha sana.
nenda uje unipe mrejesho mimi naogopa shostiNa mimi kaka..
nilikuwa najaribu tu kwa vile ni vitu asili ila nimekoma sio kwa kubdeed huko chaaaa!!Duhhh pole .
Ikija kwenye kuondoa unene kila mtu
Atakwambia kitu tofauti. Lakini ukweli ni kwamba hakuna njia fupi ya kuondoa unene. Mazoezi na diet ndio njia pekee.
weka oda ya pedi kabisaNgoja na mi niyatafute hayo majani. Lakini nitakuwa nakunywa kila baada ya siku 3.
Nitaleta mrejesho. Ngoja niyatafute hayo magiligilaniweka oda ya pedi kabisa
ahahaaa yapo sokoni ya kutoshaNitaleta mrejesho. Ngoja niyatafute hayo magiligilani
Kesho nitazama buguruni hapo niyachekahahaaa yapo sokoni ya kutosha
Na mimi kaka..