Mrejesho muhimu: Madhara ya dawa za kupunguza uzito

Mrejesho muhimu: Madhara ya dawa za kupunguza uzito

ndio hilo.jani shenzi sana kumbe .nashangaa dokta mwaka alikuwa anashauri liwekwe kwenye papuchi iwe tamu
Duhhh
Mkuu mimi natumia coriander karibu kila siku kupikia ama decoration tu kwenye chakula . Coriander inasaidia sana na madini ya chuma, (iron) vitamin C, Vitamin K, potassium na kuna watu wanasema inawasaidia ku control blood sugar.

Sasa sijui kama kweli wewe ulikuwa unatumia coriander au jani lingine.
 
Uzito umenitesa sana,lakini siri ni moja tupo(mazoezi)na nidhamu ya msosi,vyakula vya wanga ni hatari ,sukari ni hatari,,mtu anataka apungue ndani ya siku 30 haiwezekani ,inatakiwa iwe ni tabia yako kufanya mazoezi na kula kiasi.
Ni kweli mkuu, pia Zoezi Iwe ni moja wapo ya maisha yako, sio unafanya Zoezi mwezi mmoja tu unaacha.
 
Duhhh
Mkuu mimi natumia coriander karibu kila siku kupikia ama decoration tu kwenye chakula . Coriander inasaidia sana na madini ya chuma, (iron) vitamin C, Vitamin K, potassium na kuna watu wanasema inawasaidia ku control blood sugar.

Sasa sijui kama kweli wewe ulikuwa unatumia coriander au jani lingine.
natumia sana hili jani kwenye saladi,pilau nk ila huwa ni kidogo narushia majani kiasi.
kwenye hii issue nilichemsha kama chai nikanywa vikombe viwili kila siku .ndo majanga yaliponipatia
 
natumia sana hili jani kwenye saladi,pilau nk ila huwa ni kidogo narushia majani kiasi.
kwenye hii issue nilichemsha kama chai nikanywa vikombe viwili kila siku .ndo majanga yaliponipatia

Duhhh pole .
Ikija kwenye kuondoa unene kila mtu
Atakwambia kitu tofauti. Lakini ukweli ni kwamba hakuna njia fupi ya kuondoa unene. Mazoezi na diet ndio njia pekee.
 
Mfumanie mpenzi wako utapungua fast wala hakun garama ndani ya wiki tu
 
na ukiharisha sana mpaka sehemu ya kutolea haja kubwa nasikia huwa kunakuwa kama kunawaka moto.... sasa hapo sijui dada angu unafanyaje. anyway nilishawah kukwambia nina namna ya kumfanya mtu apunguze uzito kwa njia salama kabisa ya mazoezi na chakula atakula ila si kiasi au namna ile ya mwanzo .hukutilia maanani dada yangu. hizo dawa za kupunguza kwa kuharisha ni tatizo msitumie mtakuja kufa bila malipo yaani bure kabisa.

ukipona nitafute tupeane maelekezo.wala sitohitaji pesa toka kwako zaidi ya wewe tu kunisikiliza na kuwa tunafanya mazoezi wote kwa njia ya simu jioni na asubuhi.kwa kufuata tu maelekezo nusu saa inatosha sana.
Na mimi kaka..
 
Ngoja na mi niyatafute hayo majani. Lakini nitakuwa nakunywa kila baada ya siku 3.
 
Duhhh pole .
Ikija kwenye kuondoa unene kila mtu
Atakwambia kitu tofauti. Lakini ukweli ni kwamba hakuna njia fupi ya kuondoa unene. Mazoezi na diet ndio njia pekee.
nilikuwa najaribu tu kwa vile ni vitu asili ila nimekoma sio kwa kubdeed huko chaaaa!!
 
Vitu Vya Asili Kupambana Na Artificial Ni Ngumu Sana mwisho Wa Siku Unaweza Sababisha Mambo Mengine
 
haina shida hii haina side effect ni mazoezi kama mazoezi na utaratibu wa kula kiasi unabadilika ila haushindi na njaa. kama utakuwa tayari tuwasiliane inbox kwa ajili ya kufahamiashana mambo kadhaa zaidi.
Na mimi kaka..
 
Back
Top Bottom