kenzi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 425
- 461
Biashara yoyote utakayoshauriwa kuanza nakushauri usiingize hela yako yote. Tumia laki moja tu kwenye biashara. Lak moja inayobak weka akiba usiiguse hta iweje labda uwe umepata tenda unayoona itakulipa ila pia tumia hta elfu 50. Lazima ubaki na akiba.Sawa mkuu asante kwa ushauri
Usikubal kuingiza hela yote kwenye biashara.