Mrejesho na Msaada: Nifanye biashara gani ambayo kwa siku nipate faida ya 5000?

Sawa mkuu asante kwa ushauri
Biashara yoyote utakayoshauriwa kuanza nakushauri usiingize hela yako yote. Tumia laki moja tu kwenye biashara. Lak moja inayobak weka akiba usiiguse hta iweje labda uwe umepata tenda unayoona itakulipa ila pia tumia hta elfu 50. Lazima ubaki na akiba.
Usikubal kuingiza hela yote kwenye biashara.
 
Toroli la maji likoje mkuu?
 

Yah, wanasema kina cha maji hakipimwi kwa miguu miwili mkuu. Safi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…