Mrejesho: Ndoto inayojirudia kwa Miaka 12 sasa!

Mkuu Mshana kuna hili la kulishwa sijui ndo madawa kwenye chakula nasaidikeje?....Maana naambiwa mpaka ntapishwe mkuu
 
Mkuu Mshana kuna hili la kulishwa sijui ndo madawa kwenye chakula nasaidikeje?....Maana naambiwa mpaka ntapishwe mkuu
Acha kuteseka ndugu.

Fanya maombi ya kufunga na kuomba nawe utapona. Mwombe Mungu akutakase kwa damu ya Yesu na akufanye uwe mpya. Utu wako wa kale utaondoshwa nawe utakuwa mpya kabisa.

Mwombe Mungu akusamehe kwa kutokumwamini yeye, na kwa kutegemea wanadamu (Maana imeandikwa amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kuwa kinga yake, lakini amebarikwa amtegemeaye na kumtumainia Mungu)

Ukimkiri Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yako, na kumruhusu akutangulie na kukuongoza katika njia zako zote, NAYE ATAYANYOOSHA MAPITO YAKO YOTE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…