Wapi hukoKaka karibu katika biashara ya mchele
Mchele unalika kila mahali ni kusoma tu soko na kupata malighafi sahihiWapi huko
Ingia kwenye biashara ya waste inalipa sanaMimi ni miongoni mwa watu wanaojaribu vitu vingi sana, Naamini katika so called risk taking.
Kuna mwana Jamii Forums humu alikuja na wazo, nilipoliangalia nikaona kama linawork, nikampigia simu akanipa ushirikiano nzuri sana( hakuwa tapeli kabisa nashuhudia hili hapa wazi wazi, he was a humble youth).
Biashara yenyewe ilikuwa ifanyike mkoani, sitaki kuitaja Kwa sababu mpaka sasa hata yeye hajui ID yangu hapa Jamii Forums.
Nilisafiri tukaanza biashara tulifanya vyema kama inavyotakiwa ingawa Niko busy sana nilikuwa namuachia.
Kwa ufupi niliingiza TSH 2,850,000 mpaka mwisho wa project nikipata jumla 520,000. Nilikula hasara kubwa mno.
Faida niliyopata ni shule, nikipata shule kubwa yapo mambo sitarudia kufanya, lakini yapo nitarudia kufanya ila Kwa umakini mkubwa sana.
Huyu kijana hakunitapeli ila tu basi biashara isikie hivi hivi, inalipa ikiwa inaadithiwa, ukiibgia ground unakutana na mengine kabisa ambayo hayakuwa kwenye hadithi.
Kama kuna mwingine ana wazi analodhani linaweza kutulipa vizuri karibu.
Wapi uko Mkuu nijeKaka karibu katika biashara ya mchele
Mimi Nilipata shule tena ya chuo kikuuNdio hivyo kwenye biashara kuna risks na uncertainties nyingi sana mkuu yaani usipo pata faida utapata shule.
Unaoatikana wapi huo mchele tukanunueMchele unalika kila mahali ni kusoma tu soko na kupata malighafi sahihi
Karibu Moshi Boma tunauza jumla na reja reja kwa bei rafiki kabisaUnaoatikana wapi huo mchele tukanunue
Mi ni ko moshiWapi uko Mkuu nije
Nahitaji gunia mia, nipe bei mpaka zinafika huku kaliuaKaribu Moshi Boma tunauza jumla na reja reja kwa bei rafiki kabisa
Mkuu tumegee na sisi hiyo shuleMimi Nilipata shule tena ya chuo kikuu
Oyaa utafungashiwa chenga za vitumbua uje na nyuzi za machozi humuNahitaji gunia mia, nipe bei mpaka zinafika huku kaliua
Sasa kwani mie sitafika eneo la tukio?Oyaa utafungashiwa chenga za vitumbua uje na nyuzi za machozi humu
Naona unashupaza shingoSasa kwani mie sitafika eneo la tukio?
AiseeSasa hizi ndio feedback zakuweka hapa. Tunaelezana ukweli wenyewe.
Hongera kwa kuthubutu mzeya. Sie wengine ata biashara ya bodaboda tunaogopa. Hela zimekaa tuu hazina la kufanya
Kg 50 tunauza 90Nahitaji gunia mia, nipe bei mpaka zinafika huku kaliua
Sasa si useme ni biashara gani na ulifeli wapi ili na wengine wajifunzeMimi ni miongoni mwa watu wanaojaribu vitu vingi sana, Naamini katika so called risk taking.
Kuna mwana Jamii Forums humu alikuja na wazo, nilipoliangalia nikaona kama linawork, nikampigia simu akanipa ushirikiano nzuri sana( hakuwa tapeli kabisa nashuhudia hili hapa wazi wazi, he was a humble youth).
Biashara yenyewe ilikuwa ifanyike mkoani, sitaki kuitaja Kwa sababu mpaka sasa hata yeye hajui ID yangu hapa Jamii Forums.
Nilisafiri tukaanza biashara tulifanya vyema kama inavyotakiwa ingawa Niko busy sana nilikuwa namuachia.
Kwa ufupi niliingiza TSH 2,850,000 mpaka mwisho wa project nikipata jumla 520,000. Nilikula hasara kubwa mno.
Faida niliyopata ni shule, nikipata shule kubwa yapo mambo sitarudia kufanya, lakini yapo nitarudia kufanya ila Kwa umakini mkubwa sana.
Huyu kijana hakunitapeli ila tu basi biashara isikie hivi hivi, inalipa ikiwa inaadithiwa, ukiibgia ground unakutana na mengine kabisa ambayo hayakuwa kwenye hadithi.
Kama kuna mwingine ana wazi analodhani linaweza kutulipa vizuri karibu.
Ah hawa fixed account yaani wanakupa asilimia 6 for 50mil. Hapana wacha ikae niwe naichungulia tuu.Aisee
Hela imekaaa tu?
Take riskw au peleka fixed account basi kama unaogopa sana.
Au nunua kiwanja, jenga nyumba kama inatosha.
Nunua government bonds