Mrejesho: Nilifanya biashara kwa wazo la hapa JamiiForums

Ingia kwenye biashara ya waste inalipa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hivyo kwenye biashara kuna risks na uncertainties nyingi sana mkuu yaani usipo pata faida utapata shule.
 
Sasa hizi ndio feedback zakuweka hapa. Tunaelezana ukweli wenyewe.
Hongera kwa kuthubutu mzeya. Sie wengine ata biashara ya bodaboda tunaogopa. Hela zimekaa tuu hazina la kufanya
Aisee

Hela imekaaa tu?

Take riskw au peleka fixed account basi kama unaogopa sana.

Au nunua kiwanja, jenga nyumba kama inatosha.

Nunua government bonds
 
Kichwa cha Habari na kilichomo ndani ni takataka tu
 
Sasa si useme ni biashara gani na ulifeli wapi ili na wengine wajifunze
 
Aisee

Hela imekaaa tu?

Take riskw au peleka fixed account basi kama unaogopa sana.

Au nunua kiwanja, jenga nyumba kama inatosha.

Nunua government bonds
Ah hawa fixed account yaani wanakupa asilimia 6 for 50mil. Hapana wacha ikae niwe naichungulia tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…