Mrejesho: Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo?

Natikisika sana, sorry nasikitika sana kwa ushauri wangu nilio haribu siku ile, kwakweli nimeghafilika, yaani hii ndo ile mapenzi hayashauriwi.
 
Uiiiiij sasa we ndo tukushaurije tenaaa?
We leta tu mirejesho maana mr anapangua yote ulopanga
 
Toka ndotoni kumekucha, unachelewa Daladala za feri kwenda kuparua Samaki.
 
Habari za humu wana JF, natumai wote mko njema.

Natambua baada ya kuleta uzi wangu huu
Una haki ya kuvurugika. The guy is a humble man you are a fine girl. Kama nyinyi ni wa imani ya kiislamu muoane kwa kuzingatia misingi ya imani. Tofauti na hapo muachane tu. Uzuri he has an open heart for that.
 
Una haki ya kuvurugika. The guy is a humble man you are a fine girl. Kama nyinyi ni wa imani ya kiislamu muoane kwa kuzingatia misingi ya imani. Tofauti na hapo muachane tu. Uzuri he has an open heart for that.
Imani ya kiislamu hairuhusu watu ambao wamesha fanya zinaa kuoana.
 
Dada tambua kuwa wewe ni kipozeo tu kwake, java hayuko radhi kumwacha mkewe kwa ajili yako, atakupotezea tu muda kwa kujifanya anakupenda sijuwi hawezi ishi bila wewe. Wewe kama una mwingine bora umuache tu na umwambie ukweli kuwa una mtu anayetaka kukuoa, hawezi kulia wala kukasirika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…