Mrejesho: Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo?

Daah 😍😍
 

[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kama unachokifanya na unaona una furaha na upo sahihi, endelea. Ila cha kukumbuka tu, ubaya una tabia ya kujirudia haijalishi ni muda gani utapita. You'll pay the price!!!
 
Kweli kabisa,yule kaka was facebook
 
Hapana unaoona wanahasira ni wake za watu,hujaelewa tu!
Mume anauma kaka!
Atoe vitu nje wakati mna familia unafikiri muchezo?
Acha kabisa!
 
Kuna vitu haviingii akilini, ila inawezekana pia maana kuna walofanyiwa makubwa zaidi ya hayo. Ila Tanzania hii hii kweli? Hapana haiingii akilini.
Yapo Mengi tu, sema baadhi ya watu hawajakutana nayo. Lakini yapo makubwa kuliko hayo.

Hapo mdada hakuna namna. Assume tu kuwa Mke wa pili, kwa kuwa sioni dalili za kukuacha.

Ukitamka Tena utaonyeshwa nuclear weapon.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…