Justice minister
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 1,173
- 823
Hapo sawa maana jino la juu hata madaktari inasemekana hawashauri ling'olewe maana linaweza kusababisha mgonjwa akapooza au kupoteza maisha.Lilikuwa la chini sema huyo dr. Hakuwa tu mtaalam mzuri labda wa kuchoma ganzi!! Au ganzi zilikuwa zime kwisha muda wake
Ipo moja niliipata kwa mzizi mkavu na nyengine niliipata mtaani, sasa sijui ipi ilinisaidia ila nahisi ni ile inayotoka kwa MziziMkavuDawa gani nami nikanunue jino langu limetoboka
Mkuu....
Nijuavyo wewe ni Me, lakini mbona naona kama unaviashiria vya Ke..[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Samahani kwa kutoka nje ya mada.View attachment 540668
Wa wee huoni huo mkono ni wa kike na mi ni mwanaume?
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Ni neema ya Allah huyu!
Sio kama sisi bana
Kumbe eeh, kwahio sasa ikitokea likauma au kutoboka, unafanyaje?Ni jino la juu au la chini? maana inasemekana kung'oa jino la juu ni hatari sana.
Angelitumia njia ya kusukutuwa mkojo wake wa Asubuhi wala asingetoa hilo jino lake na asingeumwa maishani mwake jino tena.Na ile ya kusukutua mkojo wako asubuhi pia haikusaidia!
Angelitumia njia ya kusukutuwa mkojo wake wa Asubuhi wala asingetoa hilo jino lake na asingeumwa maishani mwake jino tena.
Jino likitoboka au kuuma unasukutua na mkojo tu linapoa, pia unaweza kwenda kuliziba.Kumbe eeh, kwahio sasa ikitokea likauma au kutoboka, unafanyaje?
Kuziba linauma?Jino likitoboka au kuuma unasukutua na mkojo tu linapoa, pia unaweza kwenda kuliziba.
Mziz mkavu kasema kusukutua na mkojo we ulifanya hivyo?Ipo moja niliipata kwa mzizi mkavu na nyengine niliipata mtaani, sasa sijui ipi ilinisaidia ila nahisi ni ile inayotoka kwa MziziMkavu
Root canal kama inavyosemwa ni kwamba daktari anakata mshipa wa fahamu ambao ndio unafanya uhisi maumivu kwenye jino na anakata pia mshipa wa unaopeleka damu kwenye jino na kisha anaiziba na baada ya hapo anasafisha jino ili kuondoa uchafu na wadudu na kuliziba kabisa.Kuziba linauma?
Sidhani kama root canal ni muhimu kwa meno ya nyumaRoot canal kama inavyosemwa ni kwamba daktari anakata mshipa wa fahamu ambao ndio unafanya uhisi maumivu kwenye jino na anakata pia mshipa wa unaopeleka damu kwenye jino na kisha anaiziba na baada ya hapo anasafisha jino ili kuondoa uchafu na wadudu na kuliziba kabisa.
Duh kama inatibu wewe jaribu, MziziMkavu ni doktaMziz mkavu kasema kusukutua na mkojo we ulifanya hivyo?
Kwanini?Sidhani kama root canal ni muhimu kwa meno ya nyuma
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app