duh kitu cha heeelaaaakaribu sana apa kigezo n uwe na hela tu
Humu JF si member wanapanda vyeo kadri anavyotuma threads na ku comment!!!! atakuwa alikuwa anapandisha credit zake tuHivi ulimpa nini jamaa mpaka akajihisi mnakaribia kufunga ndoa?
Wangu hautakua wa kuongeza credit, kwa sababu hata pa kuziangalia sijui.Humu JF si member wanapanda vyeo kadri anavyotuma threads na ku comment!!!! atakuwa alikuwa anapandisha credit zake tu
Mkuu una cheti cha kuzaliwa..??Habari zenu wana MMU,
Nadhani post yangu ya juzi wengi wenu mliisoma,
Ilisema; Natafuta mpenzi
Nilikuwa natafuta mpenzi nashukuruni kwa kuwa pamoja na mimi na wale ambao walinifuata pm na hawakukidhi vigezo wanisamehe ila nashukuru mpenzi nimepata anaitwa Isaac.
Ahsanteni sana.
Duh! Kumbe ndomana nikakosa kujibiwa pm yangu.Habari zenu wana MMU,
Nadhani post yangu ya juzi wengi wenu mliisoma,
Ilisema; Natafuta mpenzi
Nilikuwa natafuta mpenzi nashukuruni kwa kuwa pamoja na mimi na wale ambao walinifuata pm na hawakukidhi vigezo wanisamehe ila nashukuru mpenzi nimepata anaitwa Isaac.
Ahsanteni sana.
Duh huko nako unataka mrejesho mkuuBas sawa ulete mrejesho wa hatua ya pili
Daniella vs Isaac [emoji15] [emoji15] [emoji15]Nakuombea mrejesho hatua ya pili isiwe kibuti
Hongereni sana Daniella&Isaac