Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
hah hahaa... mkuu tuache na mapenzi Yetu" kama wewe ulizoea kuchezea Watoto wawatu na kuwatema kama Big G ...sio kwamba wote tupo hivyo"" yule naniii.....umemkula Dada wawatu umempachika mimba ajabu umeikataa "" mpaka sasa hivi JF hana hamu Nayo anaiona kama jela
Wewe uliyehack hii account hebu rudisha kwa mwenye nayo!!.. Tunayemjua hanaga kusingizia hivii!!..😱 😱hahaaa...mkuu kwani siku kuambia..acc yangu ilikuwa hacked... zile comment sio zangu aisee.""
Kajielezee vizuri kwa Miss Natafuta aelewe utapeli wako haiwezekani watu wawili tukusingizie!..Mkuu sasa ulitaka nione yule manzi "" anajulikana Jf nzima "" ulitaka niuweke rehani moyo ama "" au furaha yako nikuona nikibabuka moyo
hahaaa... sinimesha sema kuwa acc yangu ilidukuliwa ""Kajielezee vizuri kwa Miss Natafuta aelewe utapeli wako haiwezekani watu wawili tukusingizie!..
unatafuta defence mechanism"" acc yangu "" ipo Salama "" na ninacho kwambia...kina ukweli"" ulichomfanyia Binti wawatu sio aisee...Wewe uliyehack hii account hebu rudisha kwa mwenye nayo!!.. Tunayemjua hanaga kusingizia hivii!!..😱 😱
Hahahah,, mwanangu hiyo avatar yako na hyo coment yako vimeniacha hoi kwa kichekoo 😀😀😀Hutaki wa pili mkuu?
ndo amekutoa dar mpk moro sio 😛😛😛nimepata mume sio wife
kama amenipend nifanyaje?
kawe sister kanisan tuKhe [emoji15] [emoji15] [emoji15] ....hongera
Jamani na Mimi natafuta mume ...sifa yangu mimi ni mfupi mwembamba chura sina
Ndio upo kwa avatarKhe [emoji15] [emoji15] [emoji15] ....hongera
Jamani na Mimi natafuta mume ...sifa yangu mimi ni mfupi mwembamba chura sina
YeahNdio upo kwa avatar
Unalipa chura sio muhimuYeah
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Unalipa chura sio muhimu
[emoji4] [emoji4][emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Sema tu access na pm yako hamna[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Bora ilivyokosekanaSema tu access na pm yako hamna
Mh sawaBora ilivyokosekana
Hongera sana na asante kwa mrejeshoZa jioni wapendwa,
Baada ya kuweka uzi wangu huu >> Aliyetayari kutulia kuitwa mume wa mtu aje hapa hatimaye nimepata niliyekuwa namtaka.
Asanteni kwa wote walioshiriki ila nimeshapata na ndio chaguo langu.
Kutangulia si kupataUmejiunga juz umeshapta na wife kabisa, wengine tupo njian bado