Mrejesho: Nimepata yule ninayemtaka

Mrejesho: Nimepata yule ninayemtaka

Uzuri makaburi yote yana alama ya msalaba siku ukileta uzi mwingine tutaanza kupekua misalaba yako.
 
hah hahaa... mkuu tuache na mapenzi Yetu" kama wewe ulizoea kuchezea Watoto wawatu na kuwatema kama Big G ...sio kwamba wote tupo hivyo"" yule naniii.....umemkula Dada wawatu umempachika mimba ajabu umeikataa "" mpaka sasa hivi JF hana hamu Nayo anaiona kama jela
hahaaa...mkuu kwani siku kuambia..acc yangu ilikuwa hacked... zile comment sio zangu aisee.""
Wewe uliyehack hii account hebu rudisha kwa mwenye nayo!!.. Tunayemjua hanaga kusingizia hivii!!..😱 😱
 
Mkuu sasa ulitaka nione yule manzi "" anajulikana Jf nzima "" ulitaka niuweke rehani moyo ama "" au furaha yako nikuona nikibabuka moyo
Kajielezee vizuri kwa Miss Natafuta aelewe utapeli wako haiwezekani watu wawili tukusingizie!..
 
Wewe uliyehack hii account hebu rudisha kwa mwenye nayo!!.. Tunayemjua hanaga kusingizia hivii!!..😱 😱
unatafuta defence mechanism"" acc yangu "" ipo Salama "" na ninacho kwambia...kina ukweli"" ulichomfanyia Binti wawatu sio aisee...
 
Back
Top Bottom