tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Kwanza niwashukuru wote walionishauri kwenye thread niliyoomba ushauri kuhusu malaria...
Kuna mdau alinielekeza nije kwa Kishamba hapa Majengo Moshi. Nimepima na hakuna tena wadudu wa malaria ila nimekutwa na infection kwenye mkojo na minyoo pia!!
Nitawapa maendeleo zaidi maana bado sijisikii vizuri.
Mungu awabariki!!
cc Mzizi Mkavu
Kuna mdau alinielekeza nije kwa Kishamba hapa Majengo Moshi. Nimepima na hakuna tena wadudu wa malaria ila nimekutwa na infection kwenye mkojo na minyoo pia!!
Nitawapa maendeleo zaidi maana bado sijisikii vizuri.
Mungu awabariki!!
cc Mzizi Mkavu