Mrejesho: Sijawahi kufanikiwa kupata Msichana tangu nianze kutafuta!

Mrejesho: Sijawahi kufanikiwa kupata Msichana tangu nianze kutafuta!

T 1984 CON

Member
Joined
Apr 15, 2017
Posts
49
Reaction score
81
Mwamkazeze,

Sijawahi kufanikiwa kupata mchumba humu tangu nianze kutafuta, Embu nioneeni huruma. Hata kama nna nyota ya bashite hii too much!

Kweli binadamu hawana huruma!

Tupendane jamani ht kwa wasio na pesa!
 
hahaha, mkuu kama una kibamia na huna pesa hilo swala futa kabisa kipata babies humu 😀😀😀
 
hahaha, mkuu kama una kibamia na huna pesa hilo swala futa kabisa kipata babies humu 😀😀😀
Mkuu nlifikiri ungesema huu mtalimbo ndo tatizo..unasema kibamia tena!

Au kuna mwanasiasa anatumia nyota yangu?!!
 
Uwe unawapa pesa tu mkuu huna namna nyingine
 
Dah, Pole sana brother
Usikate tamaa, ipo siku watakuja wanatambaa kwako, usijione umetengwa wala usijione maskini.
Never Give Up
 
[emoji102] naona unawaomba dada zetu wakuonee hurumu humu ,,

[HASHTAG]#pesa[/HASHTAG] [emoji383] is ze basic need of life
 
Mwamkazeze,

Sijawahi kufanikiwa kupata mchumba humu tangu nianze kutafuta, Embu nioneeni huruma. Hata kama nna nyota ya bashite hii too much!

Kweli binadamu hawana huruma!

Tupendane jamani ht kwa wasio na pesa!
Hahahhaahahahahah
 
Back
Top Bottom