MREJESHO: Simuelewi mume wangu

Dada yangu Mwili Wako Sio Maonyesho Kila Mwanaume Auone,Mwili Wako sio Mdoli Kila Mwanaume Auchezee,Mwili Wako sio Dampo Upokee Kila Uchafu wa Mwanaume,Mwili wako sio Mali ya Umma kila Mwanaume Akutumie,Mwili wako sio Kiburudisho kila Mwanaume Ajiridhishe,Mwili wako sio Pazia la Sebuleni kila Mwanaume Akufunue.Jitunze,Jithamini,Jikubali na Jiamini..Cha kufanya sasa mvizie bafuni wakati anaoga Alikgoama bado basi kama ni mtumishi rudi umecehelewa zaidi na kama ni mama wa nyumbani muda wa kufika toka nyumbani au jifiche kwa jirani hata kama atapiga simu usipokee rusi home baada ya lisaa 1 au 2 akikuuliza ulikuwa wapi mwambie nilienda kunyundulia










D
 
Hii tutaweka kwenye katiba mtu akizeeka ya mke wake bila kuachana tunampa Uprofesa na Phd ya heshima NAWASILISHA
 
Asikucheleweshe, toka njia kuu kidogo
 
Hapo alipoandika ameanza dose ya kupunguza mwili mawazo yangu machafu yameenda mbali kinyama

Ampe muda mume huku akijaribu kuwa "mbunifu" kwa baadhi ya mambo kuyaacha ama kupunguza,kama kuna mazuri anayopenda mume aongeze
Kama wana/walishawahi kuwa na migogoro wajaribu kuisolve

Enwei,hata mie sijaolewa kama wewe my wetu Amehlo
Ya ndoani hatuyajui kiviiile
 
😅😅😅 ndoa ndoano😅😅
 
Dada umeziona hizo dozi?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Sina harufu Wala tatizo lolote nipo tu vizuri alafu pia hanaga kinyaa maana kipindi tunafanya kuwa alikuwa anapiga deki kila sehemu Mimi kilichobaki sahivi nahisi tu Kuna mtu kamloga maana nishajikatia tamaa
Adui ya mwanamke ni mwanamke.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Lazima kuna kigoli mwenye umbo la mdoli anakusaidia hapo!
 
Huyo hana nguvu za kiume.

Mmmh itakuwa zaidi ya hiyo ,wenye matatizo ya nguvu za kiume wanafanya fresh sema sio kwa ufanisi ,huyo wake amchunguze kama "Jogoo" anasimama dede,nina uhakika mzigo hausimami dede ndio maana kaambiwa na Dr apunguze mwili ili aweze kutibu ilo tatizo.
 
Inawezekana kabisa.
 
Itakuwa karogwa kweli Kwasababu wanawake wengi wanatumia ushirikina kuvuja ndoa na mahusiano mazuri kwenye nyumba

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana kabisa.
I'm sure 100% jogoo hapandi mtungi ,hii inachangiwa na magonjwa,uzito mkubwa,ugomvi ,stress etc.....Namshauri dada ampetipeti wakiwa wawili kwenye old trafford /Lupaso Stadium kwa mkapa halafu aone kama jamaa atasisimka na abdalla kichwa wazi atasimama dede.
 
Anasema akimgusa anarusha mkono hukooo
 
Masikini mnapenda sana michakato, Matajiri hawana hamu ya ndoa muda wote wanawaza miradi Yao weweunaanza kuwasogelea?
Sasa hizo pesa na utajiri wanatafuta kwa ajili ya nani? Pesa inaliwa na mwanamke. Kama unatafuta pesa nyingi halafu hakuna beibe wa kuitafuna na kupiga nae shoo unakesha bure. Piga kazi pata pesa enjoy life na umpendaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…