miss chuga
JF-Expert Member
- Dec 25, 2019
- 303
- 660
- Thread starter
-
- #21
Na Mimi pia nawaza hivyo pia na mpango siku ikitokea akianza kutaka na Mimi nimnyime nimwambie nipo kwenye dozi ili na yeye ajionee ni jinsi gani inaumizaDuuh achana naye tafuta kidumu cha pembeni utakuja kunishukuru.
Sasa ebu nishauri nifanyaje au nipe njia Bora ya kutatua hili tatizo kiukweli akili yangu sahivi ni Kama imeshafeli maana nmefanya kila jitihada Ila zimegonga mwambaMapenzi ni hisia,
Huyo hana feeling na wewe teba,toka usingizini,pia usije ukajiongopea kua kuchepuka ndio solution ya tatizo lako,
Yangu ni hayo tu,the rest is up to you
Watu tunatafuta wake watakaokuwa wanatupa mizagamuo kila tukihitaji,maana tulio nao Ni wavivu kila ukiomba tu unaambiwa nimechoka,unajikuta unapata Mara Moja kwa wiki,Kuna jamaa huko analalamikiwa eti hataki kula tunda.
Pole mrembo unapitia kipindi kigumu sanaKwakweli bado na mpaka sasa sijui ana mpango gani yani ndoa ni ngumu sana basi tu Kama ningejuaga mapema nisingeolewa
Nimeshafanya mbinu zote ndugu yangu Ila hamna lolote Kuna wakati nawaza kalogwa bana eh! Nshajikatia tamaa mtu gani huyu Kuna siku niliamka na hasira nikataka kuondoka alichanganyikiwa kiukweli alivyosikia naondoka bahati nzuri Kuna mtu mzima aliingilia kutusuluisha nikamwelezea matatizo yang na mme wangu akiwepo uzuri yule baba ni mtu mzima Kama baba yetu akamwambia mwanangu jitahidi umridhishe mke wako usipofanya hivyo unamtengenezea mazingira ya kuanza kukusaliti alitushauri tu vitu vingi. akanambia mke wangu naomba usiondoke baada ya hapo nikajua hata tutafanya Ila wapi ana kazi tu ya kunipet pet nisiondoke inakera kwakweli Kuna muda kichwa kinajaa mawazo natamani hata nipige ukungaShoga angu hapo kuna ma3 kama sio ma4
1. Yuko na penzi jipya huko nje na linafanya vizuri kwa sasa
2. Amekukinai (pengine umebweteka, umepoa, mashsham huna tena au udambu udambu hakuna )
3. Ameenza michezo mibaya (kapewa jicho huko nje )
4. Yuko na stress zake(ila sidhani[emoji28][emoji28])
Fanya kuchunguza, mtoto wa kike play smart, badilisha mbinu, au hujui power of P**sy
Ila pia mpe muda
NB: ni kwa uelewa wangu mdogo tu shoga angu me sijaolewa syajui ya ndoani[emoji28][emoji28]
Joanah njoo utoe ushauri
πππPoleni sanaWatu tunatafuta wake watakaokuwa wanatupa mizagamuo kila tukihitaji,maana tulio nao Ni wavivu kila ukiomba tu unaambiwa nimechoka,unajikuta unapata Mara Moja kwa wiki,Kuna jamaa huko analalamikiwa eti hataki kula tunda.
Dunia haina usawa kabisa.
Nakazia hapa miss chugaJe mashine yake inasimama?? Sisi wanaume kila asubuhi lazima mashine isimame, na pia mrembo akiipapasa mashine hata kama ulikuwa usingizini itainuka ghafla na kusimama. Je huyo mumeo hizi sifa anazo??
Hebu tuanzie hapo kwanza. Isije ikawa amepoteza nguvu za kiume halafu anavunga!!
Ngoja tusubiri majibuNakazia hapa miss chuga
Haya Uzi ufungwe.Labda Una tatizo la harufu
Jichunguze...
Watu wenye kinyaa hisia zao zinapotea haraka Sana Kama kuna kitu kuhusu usafi au harufu kinamkwaza.... otherwise labda ana stress kubwa ya hela...
Ko shoga angu haupati mjegeje?π π π π unalala na mumeo kama kaka ako?Nimeshafanya mbinu zote ndugu yangu Ila hamna lolote Kuna wakati nawaza kalogwa bana eh! Nshajikatia tamaa mtu gani huyu Kuna siku niliamka na hasira nikataka kuondoka alichanganyikiwa kiukweli alivyosikia naondoka bahati nzuri Kuna mtu mzima aliingilia kutusuluisha nikamwelezea matatizo yang na mme wangu akiwepo uzuri yule baba ni mtu mzima Kama baba yetu akamwambia mwanangu jitahidi umridhishe mke wako usipofanya hivyo unamtengenezea mazingira ya kuanza kukusaliti alitushauri tu vitu vingi. akanambia mke wangu naomba usiondoke baada ya hapo nikajua hata tutafanya Ila wapi ana kazi tu ya kunipet pet nisiondoke inakera kwakweli Kuna muda kichwa kinajaa mawazo natamani hata nipige ukunga