Mrejesho: Tangu niachane naye nishapita na mahusiano na watu watatu lakini bado sijapata nitakako

Mrejesho: Tangu niachane naye nishapita na mahusiano na watu watatu lakini bado sijapata nitakako

braity

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2020
Posts
366
Reaction score
478
Wadau natumai mko poa.

Nazama moja kwa moja kwenye mada. Miezi takribani 5 iliyopita nilileta mada humu 90% ya mawazo ya wadau niliyatumia na yalinisaidia sana. Najifeel zaidi ya hom humu. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye nilitegemea mwaka huu kumuoa baada ya kumaliza masomo kwa bahati nzuri au mbaya tukakorofishana akaamua kuachana na mm km uzi wangu wa awali ulivyokuwa unasimulia.

Kila njia nilifanya nirudiane nae zikagonga mwamba. Hatimaye nikakata tamaa. nikinukuu mawazo ya mdau mmoja alisema "ni heri kuanzisha mahusiano mapya itakuwa na faida kuliko kulazimisha huo uhusiano" mwingine alisema "uamuzi wa busara ni kuamua kumuacha mtu unaempenda japokuwa moyoni utaumia" nilitembea na mawazo ya hawa wadau hatimaye nikafanikiwa kumsahau yule binti japo mara moja moja sana namkumbuka

Tangu niachane nae nishapita na mahusiano na watu watatu lkn bado sijapata nitakako. Ajabu yule binti tulie achana ameanza kunitafuta akiomba msamaha turudiane alikosea kusema tuachane malalamiko mengi sana. Ukweli kwa sasa moyo wangu ni mzito sana kurudi kwake japo najua nampenda ila imani ishatoweka kwa huyu mtu. I'm confused wadau km ni wewe utaendelea kusaka mpya au urudishe majeshi.

Naomba mawazo kidogo

1620205690185.png

Pia soma: Msaada wa mawazo marafiki zangu wazuri
 
Jibu zuri unalo mwenyewe unajua vizuri ulipotoka lakini hupajui unapokwenda sasa ni bora kurudi unapopajua maana hutapata shida kama utakazozipata unapoekea usipo pajua. jifunze Kusamehe ili na wewe usamehewe, zaidi ya yote nakushauri tumia moyo kuliko akili, moyowako unajua nini unataka ufuate Moyo haudanganyi.
 
Jibu zuri unalo mwenyewe unajua vizuri ulipotoka lakini hupajui unapokwenda sasa ni bora kurudi unapopajua maana hutapata shida kama utakazozipata unapoekea usipo pajua. jifunze Kusamehe ili na wewe usamehewe, zaidi ya yote nakushauri tumia moyo kuliko akili, moyowako unajua nini unataka ufuate Moyo haudanganyi
Pamoja sana mkuu.
 
Kaka mtu alishaonesha red flag wanini kurudiana nae may be unataka wa kushow off naye lakini kama ni kuoa ,piga chini kaka usije ukaja jutia na kuja kutuongezea nguzi za malalamishi kuhusu ndoaa.

Inshort huyoo alipata better than you kaenda huko mambo yame bounce anataka rudi kwako , we mpige full stop though ni ngumu ila. We ni mwanamme so fanya maamuzi ya kigumuu kama kidume acha sumbuliwa na mapenzi.
 
Kaka mtu alishaonesha red flag wanini kurudiana nae may be unataka wa kushow off naye lakini kama ni kuoa ,piga chini kaka usije ukaja jutia na kuja kutuongezea nguzi za malalamishi kuhusu ndoaa.

Inshort huyoo alipata better than you kaenda huko mambo yame bounce anataka rudi kwako , we mpige full stop though ni ngumu ila. We ni mwanamme so fanya maamuzi ya kigumuu kama kidume acha sumbuliwa na mapenzi.
Point sana kaka. Pamoja sana
 
Wadau natumai mko poa. Nazama moja kwa moja kwenye mada. Miezi takribani 5 iliyopita nilileta mada humu 90% ya mawazo ya wadau niliyatumia na yalinisaidia sana. Najifeel zaidi ya hom humu. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye nilitegemea mwaka huu kumuoa baada ya kumaliza masomo kwa bahati nzuri au mbaya tukakorofishana akaamua kuachana na mm km uzi wangu wa awali ulivyokuwa unasimulia. kila njia nilifanya nirudiane nae zikagonga mwamba. Hatimaye nikakata tamaa. nikinukuu mawazo ya mdau mmoja alisema "ni heri kuanzisha mahusiano mapya itakuwa na faida kuliko kulazimisha huo uhusiano" mwingine alisema "uamuzi wa busara ni kuamua kumuacha mtu unaempenda japokuwa moyoni utaumia" nilitembea na mawazo ya hawa wadau hatimaye nikafanikiwa kumsahau yule binti japo mara moja moja sana namkumbuka. Tangu niachane nae nishapita na mahusiano na watu watatu lkn bado sijapata nitakako. Ajabu yule binti tulie achana ameanza kunitafuta akiomba msamaha turudiane alikosea kusema tuachane malalamiko mengi sana. Ukweli kwa sasa moyo wangu ni mzito sana kurudi kwake japo najua nampenda ila imani ishatoweka kwa huyu mtu. I'm confused wadau km ni ww utaendelea kusaka mpya au urudishe majeshi. Naomba mawazo kdg
" Love is a scam, focus on your career "

~billgates
 
Kitu nilichokigundua kwenye mapenzi ni hiki. Iwapo unampenda sana mtu kisha akakuumiza ama kukuacha wakati ukimuhitaji, ikitokea akajirudi wakati wewe umeshapona maumivu ya mapenzi huwa anaonekana wa kawaida sana na hapo hata unaweza kushangaa klulimpendea nini.
 
Uandishi wa kuzingatia aya na vituo unavutia kusoma na kukutambulisha vizuri kwa hadhira, hata kama ni mwanasayansi, kuandika aya moja yenye hoja tofauti tofauti tena bila kujua sentensi inaanzia wapi na inaishia wapi kunachosha.
 
Wadau natumai mko poa. Nazama moja kwa moja kwenye mada. Miezi takribani 5 iliyopita nilileta mada humu 90% ya mawazo ya wadau niliyatumia na yalinisaidia sana. Najifeel zaidi ya hom humu. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye nilitegemea mwaka huu kumuoa baada ya kumaliza masomo kwa bahati nzuri au mbaya tukakorofishana akaamua kuachana na mm km uzi wangu wa awali ulivyokuwa unasimulia. kila njia nilifanya nirudiane nae zikagonga mwamba. Hatimaye nikakata tamaa. nikinukuu mawazo ya mdau mmoja alisema "ni heri kuanzisha mahusiano mapya itakuwa na faida kuliko kulazimisha huo uhusiano" mwingine alisema "uamuzi wa busara ni kuamua kumuacha mtu unaempenda japokuwa moyoni utaumia" nilitembea na mawazo ya hawa wadau hatimaye nikafanikiwa kumsahau yule binti japo mara moja moja sana namkumbuka. Tangu niachane nae nishapita na mahusiano na watu watatu lkn bado sijapata nitakako. Ajabu yule binti tulie achana ameanza kunitafuta akiomba msamaha turudiane alikosea kusema tuachane malalamiko mengi sana. Ukweli kwa sasa moyo wangu ni mzito sana kurudi kwake japo najua nampenda ila imani ishatoweka kwa huyu mtu. I'm confused wadau km ni ww utaendelea kusaka mpya au urudishe majeshi. Naomba mawazo kdg
Usirudi kakurudia kisa kaachwa au katendwa, kwake wewe ni 2nd choice akipata 1st choice atamrudia.

Au huenda first choice hauhudumii anataka kurudi kwa mtoa huduma ila moyo ubak kwa first choice.
 
Hahahah we jamaa usikute huyo ni yule demu ambaye ulimpangishia nyumba na kumlipia kodi still akakuletea mashauzi! Kama ndio wewe ulileta ile mada fata ushauri ninaokupa!

1.Achana na hizo akili za kurudiana na mshenzi ambaye alikutumia

2.Mwanamke akikutosa kwa style hio jua alipata ambaye kwake ni bora zaidi kuliko wewe!

3.Hakuwahi kukupenda ila alikuwa anakupumzikia tu!

NB: Usikubali kurudiana na mwanamke huyo sababu alikokimbilia ameachika huko sasa wewe ndio anakuona mnyonge wake! Kuimba kupokezana zamu yake na yeye, kitu ambacho unaweza kumfanyia ni kumfanya kiwanja cha mazoezi unajipigia tu wakati unatafuta mke wa kuoa! Huyo usioeeeeeeeee nasema tena usioooooeeee malaaaayaaaa!!!
 
Kitu nilichokigundua kwenye mapenzi ni hiki. Iwapo unampenda sana mtu kisha akakuumiza ama kukuacha wakati ukimuhitaji, ikitokea akajirudi wakati wewe umeshapona maumivu ya mapenzi huwa anaonekana wa kawaida sana na hapo hata unaweza kushangaa klulimpendea nini.
Kabisa yani
 
Wadau natumai mko poa.

Nazama moja kwa moja kwenye mada. Miezi takribani 5 iliyopita nilileta mada humu 90% ya mawazo ya wadau niliyatumia na yalinisaidia sana. Najifeel zaidi ya hom humu. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye nilitegemea mwaka huu kumuoa baada ya kumaliza masomo kwa bahati nzuri au mbaya tukakorofishana akaamua kuachana na mm km uzi wangu wa awali ulivyokuwa unasimulia.

Kila njia nilifanya nirudiane nae zikagonga mwamba. Hatimaye nikakata tamaa. nikinukuu mawazo ya mdau mmoja alisema "ni heri kuanzisha mahusiano mapya itakuwa na faida kuliko kulazimisha huo uhusiano" mwingine alisema "uamuzi wa busara ni kuamua kumuacha mtu unaempenda japokuwa moyoni utaumia" nilitembea na mawazo ya hawa wadau hatimaye nikafanikiwa kumsahau yule binti japo mara moja moja sana namkumbuka.

Tangu niachane nae nishapita na mahusiano na watu watatu lkn bado sijapata nitakako. Ajabu yule binti tulie achana ameanza kunitafuta akiomba msamaha turudiane alikosea kusema tuachane malalamiko mengi sana. Ukweli kwa sasa moyo wangu ni mzito sana kurudi kwake japo najua nampenda ila imani ishatoweka kwa huyu mtu. I'm confused wadau km ni wewe utaendelea kusaka mpya au urudishe majeshi.

Naomba mawazo kidogo
U
Wadau natumai mko poa.

Nazama moja kwa moja kwenye mada. Miezi takribani 5 iliyopita nilileta mada humu 90% ya mawazo ya wadau niliyatumia na yalinisaidia sana. Najifeel zaidi ya hom humu. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye nilitegemea mwaka huu kumuoa baada ya kumaliza masomo kwa bahati nzuri au mbaya tukakorofishana akaamua kuachana na mm km uzi wangu wa awali ulivyokuwa unasimulia.

Kila njia nilifanya nirudiane nae zikagonga mwamba. Hatimaye nikakata tamaa. nikinukuu mawazo ya mdau mmoja alisema "ni heri kuanzisha mahusiano mapya itakuwa na faida kuliko kulazimisha huo uhusiano" mwingine alisema "uamuzi wa busara ni kuamua kumuacha mtu unaempenda japokuwa moyoni utaumia" nilitembea na mawazo ya hawa wadau hatimaye nikafanikiwa kumsahau yule binti japo mara moja moja sana namkumbuka.

Tangu niachane nae nishapita na mahusiano na watu watatu lkn bado sijapata nitakako. Ajabu yule binti tulie achana ameanza kunitafuta akiomba msamaha turudiane alikosea kusema tuachane malalamiko mengi sana. Ukweli kwa sasa moyo wangu ni mzito sana kurudi kwake japo najua nampenda ila imani ishatoweka kwa huyu mtu. I'm confused wadau km ni wewe utaendelea kusaka mpya au urudishe majeshi.

Naomba mawazo kidogo
Kakuona wewe wa nini so wewe mpige chini
 
Wadau natumai mko poa.

Nazama moja kwa moja kwenye mada. Miezi takribani 5 iliyopita nilileta mada humu 90% ya mawazo ya wadau niliyatumia na yalinisaidia sana. Najifeel zaidi ya hom humu. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye nilitegemea mwaka huu kumuoa baada ya kumaliza masomo kwa bahati nzuri au mbaya tukakorofishana akaamua kuachana na mm km uzi wangu wa awali ulivyokuwa unasimulia.

Kila njia nilifanya nirudiane nae zikagonga mwamba. Hatimaye nikakata tamaa. nikinukuu mawazo ya mdau mmoja alisema "ni heri kuanzisha mahusiano mapya itakuwa na faida kuliko kulazimisha huo uhusiano" mwingine alisema "uamuzi wa busara ni kuamua kumuacha mtu unaempenda japokuwa moyoni utaumia" nilitembea na mawazo ya hawa wadau hatimaye nikafanikiwa kumsahau yule binti japo mara moja moja sana namkumbuka.

Tangu niachane nae nishapita na mahusiano na watu watatu lkn bado sijapata nitakako. Ajabu yule binti tulie achana ameanza kunitafuta akiomba msamaha turudiane alikosea kusema tuachane malalamiko mengi sana. Ukweli kwa sasa moyo wangu ni mzito sana kurudi kwake japo najua nampenda ila imani ishatoweka kwa huyu mtu. I'm confused wadau km ni wewe utaendelea kusaka mpya au urudishe majeshi.

Naomba mawazo kidogo
Ukimrudia tu, lazima ujute.
 
Jibu zuri unalo mwenyewe unajua vizuri ulipotoka lakini hupajui unapokwenda sasa ni bora kurudi unapopajua maana hutapata shida kama utakazozipata unapoekea usipo pajua. jifunze Kusamehe ili na wewe usamehewe, zaidi ya yote nakushauri tumia moyo kuliko akili, moyowako unajua nini unataka ufuate Moyo haudanganyi
Dah, atumie moyo kuliko akili? Biblia inasema "Moyo ni mdanganyifu tena una hila"

Binafsi naona akili ihusike zaidi kuliko moyo! Anaweza kurudi alipotoka ila issue ni Je Bibie kaachana na makandokando yaliyovunja uhusiano mwanzo? Na atajiridhishaje kama huyu binti hatataka kurudi tena Egpty?

Wanawake hua wanachelewa sana kuamua ataishi na mwanaume gani! Ampe muda zaidi labda mwaka mmoja ila wawe wanawasiliana, ikifika mwakani muda kama huu kama bado binti anamuhitaji jamaa basi hapo warudiane!
 
Hahahah we jamaa usikute huyo ni yule demu ambaye ulimpangishia nyumba na kumlipia kodi still akakuletea mashauzi! Kama ndio wewe ulileta ile mada fata ushauri ninaokupa!

1.Achana na hizo akili za kurudiana na mshenzi ambaye alikutumia

2.Mwanamke akikutosa kwa style hio jua alipata ambaye kwake ni bora zaidi kuliko wewe!

3.Hakuwahi kukupenda ila alikuwa anakupumzikia tu!

NB: Usikubali kurudiana na mwanamke huyo sababu alikokimbilia ameachika huko sasa wewe ndio anakuona mnyonge wake! Kuimba kupokezana zamu yake na yeye, kitu ambacho unaweza kumfanyia ni kumfanya kiwanja cha mazoezi unajipigia tu wakati unatafuta mke wa kuoa! Huyo usioeeeeeeeee nasema tena usioooooeeee malaaaayaaaa!!!
Sahihi kabisa ni mm. Nimekuelewa vizuri kaka!!
 
Usirudi kakurudia kisa kaachwa au katendwa, kwake wewe ni 2nd choice akipata 1st choice atamrudia.
Au huenda first choice hauhudumii anataka kurudi kwa mtoa huduma ila moyo ubak kwa first choice
Nimekupata vizuri bro
 
Back
Top Bottom