Nitafanyia kazi hilo shukraniUandishi wa kuzingatia aya na vituo unavutia kusoma na kukutambulisha vizuri kwa hadhira, hata kama ni mwanasayansi, kuandika aya moja yenye hoja tofauti tofauti tena bila kujua sentensi inaanzia wapi na inaishia wapi kunachosha.
Kweli kabisa asanteeUsirudi kakurudia kisa kaachwa au katendwa, kwake wewe ni 2nd choice akipata 1st choice atamrudia.
Au huenda first choice hauhudumii anataka kurudi kwa mtoa huduma ila moyo ubak kwa first choice
Nimekuelewa brotherDah, atumie moyo kuliko akili? Biblia inasema "Moyo ni mdanganyifu tena una hila"
Binafsi naona akili ihusike zaidi kuliko moyo! Anaweza kurudi alipotoka ila issue ni Je Bibie kaachana na makandokando yaliyovunja uhusiano mwanzo? Na atajiridhishaje kama huyu binti hatataka kurudi tena Egpty?
Wanawake hua wanachelewa sana kuamua ataishi na mwanaume gani! Ampe muda zaidi labda mwaka mmoja ila wawe wanawasiliana, ikifika mwakani muda kama huu kama bado binti anamuhitaji jamaa basi hapo warudiane!
[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahah we jamaa usikute huyo ni yule demu ambaye ulimpangishia nyumba na kumlipia kodi still akakuletea mashauzi! Kama ndio wewe ulileta ile mada fata ushauri ninaokupa!
1.Achana na hizo akili za kurudiana na mshenzi ambaye alikutumia
2.Mwanamke akikutosa kwa style hio jua alipata ambaye kwake ni bora zaidi kuliko wewe!
3.Hakuwahi kukupenda ila alikuwa anakupumzikia tu!
NB: Usikubali kurudiana na mwanamke huyo sababu alikokimbilia ameachika huko sasa wewe ndio anakuona mnyonge wake! Kuimba kupokezana zamu yake na yeye, kitu ambacho unaweza kumfanyia ni kumfanya kiwanja cha mazoezi unajipigia tu wakati unatafuta mke wa kuoa! Huyo usioeeeeeeeee nasema tena usioooooeeee malaaaayaaaa!!!
Dah, atumie moyo kuliko akili? Biblia inasema "Moyo ni mdanganyifu tena una hila"
Binafsi naona akili ihusike zaidi kuliko moyo! Anaweza kurudi alipotoka ila issue ni Je Bibie kaachana na makandokando yaliyovunja uhusiano mwanzo? Na atajiridhishaje kama huyu binti hatataka kurudi tena Egpty?
Wanawake hua wanachelewa sana kuamua ataishi na mwanaume gani! Ampe muda zaidi labda mwaka mmoja ila wawe wanawasiliana, ikifika mwakani muda kama huu kama bado binti anamuhitaji jamaa basi hapo warudiane!
Mapenzi yalivyo na uboya, sisi tunatumia muda wetu na Mb zetu kutype na kumpa ushauri, ila lidemu lake likimtumia "I miss you mbili na Am sorry moja" utashangaa jamaa linamrudiaHahahah we jamaa usikute huyo ni yule demu ambaye ulimpangishia nyumba na kumlipia kodi still akakuletea mashauzi! Kama ndio wewe ulileta ile mada fata ushauri ninaokupa!
1.Achana na hizo akili za kurudiana na mshenzi ambaye alikutumia
2.Mwanamke akikutosa kwa style hio jua alipata ambaye kwake ni bora zaidi kuliko wewe!
3.Hakuwahi kukupenda ila alikuwa anakupumzikia tu!
NB: Usikubali kurudiana na mwanamke huyo sababu alikokimbilia ameachika huko sasa wewe ndio anakuona mnyonge wake! Kuimba kupokezana zamu yake na yeye, kitu ambacho unaweza kumfanyia ni kumfanya kiwanja cha mazoezi unajipigia tu wakati unatafuta mke wa kuoa! Huyo usioeeeeeeeee nasema tena usioooooeeee malaaaayaaaa!!!
Hahahaha na hakuna kitu tutafanya 😂😂😂Mapenzi yalivyo na uboya, sisi tunatumia muda wetu na Mb zetu kutype na kumpa ushauri, ila lidemu lake likimtumia "I miss you mbili na Am sorry moja" utashangaa jamaa linamrudia
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] penzi lao litanoga, alaf sisi tutaonekana wapambe nuksi. Watatusema sana maamaee [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hahahaha na hakuna kitu tutafanya [emoji23][emoji23][emoji23]
Tutaonekana vigagula tu 😂😂😂 wachawi wa penzi lao![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] penzi lao litanoga, alaf sisi tutaonekana wapambe nuksi. Watatusema sana maamaee [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28] mkuu sikufichi hakuna sehem inahitaji hekima kama pale rafiki yako anapokuja kuomba ushauri unaohusu mahusiano. Bora huku JF hata mtu akiniona nuksi, sio kesi maana hatujuani, ila huku mitaani ni nomaTutaonekana vigagula tu [emoji23][emoji23][emoji23] wachawi wa penzi lao!
Haaa mtaani mie simpi ushauri wa kukatisha tamaa[emoji28][emoji28][emoji28] mkuu sikufichi hakuna sehem inahitaji hekima kama pale rafiki yako anapokuja kuomba ushauri unaohusu mahusiano. Bora huku JF hata mtu akiniona nuksi, sio kesi maana hatujuani, ila huku mitaani ni noma
Unataka mwenzio abambikiwe mimba isiyo yake?mgegede mwage, mzimie na simu
amwage njeUnataka mwenzio abambikiwe mimba isiyo yake?
Ngoja tuone jamaa thread yake inayofata itakuwaje, nahisi atamrudia mchumbaHaaa mtaani mie simpi ushauri wa kukatisha tamaa
Apige chini mazima, hakuna cha kumwaga nje wala chiniamwage nje
Najua anampenda sana huyo demu so kupindua ni ngumu! Ila watajuana wenyewe kama akitibuliwa tena akija kulia hapa tunamchamba tuNgoja tuone jamaa thread yake inayofata itakuwaje, nahisi atamrudia mchumba
na baridi hili, K ya bure ileeeApige chini mazima, hakuna cha kumwaga nje wala chini
Akija tena tunampa ushauri huku tunachesa PS4, stress zake, ni zake peke yake [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Najua anampenda sana huyo demu so kupindua ni ngumu! Ila watajuana wenyewe kama akitibuliwa tena akija kulia hapa tunamchamba tu