Mrejesho tena. Jiwe kwenye figo

Mrejesho tena. Jiwe kwenye figo

mmmh naona kama nachezewa kimazingara[emoji848][emoji848][emoji848]
Hili la PROSTATE naombeni majibu wakuu" VERY TINY HYPERCHOIC LESION ina maana gani???
Majibu napeleka next week
 
mmmh naona kama nachezewa kimazingara[emoji848][emoji848][emoji848]
Hili la PROSTATE naombeni majibu wakuu" VERY TINY HYPERCHOIC LESION ina maana gani???
Majibu napeleka next week
Una miaka mingapi boss tuanzie hapo.
Mbona kama unaanza kubdevelop BPH mapema hivi wakati umri bado
hypoechoic nodule, au lession inaweza kua sign ya kua umedevelop prostate cancer.
 
Una miaka mingapi boss tuanzie hapo.
Mbona kama unaanza kubdevelop BPH mapema hivi wakati umri bado
hypoechoic nodule, au lession inaweza kua sign ya kua umedevelop prostate cancer.
Dah Mungu amuepushie
 
mmmh naona kama nachezewa kimazingara[emoji848][emoji848][emoji848]
Hili la PROSTATE naombeni majibu wakuu" VERY TINY HYPERCHOIC LESION ina maana gani???
Majibu napeleka next week
Very tiny hyperechoic lession= kivimbe kidogo sana kinachong'aa
 
Una miaka mingapi boss tuanzie hapo.
Mbona kama unaanza kubdevelop BPH mapema hivi wakati umri bado
hypoechoic nodule, au lession inaweza kua sign ya kua umedevelop prostate cancer.
Yesuu[emoji26][emoji26][emoji40][emoji40] 29 yrs
 
Tulia, fuata zaidi maelekezo ya daktari wako na pia kama una hoja au maswali muulize yeye...huku mitandaoni utachanganyikiwa.
Daah kabisaa maana imebidi nikimbie niende hospital nyingine uku mjini na majibu yangu anisomee vizuri yako vipi...maana[emoji119]
 
Hata kwenye report Yako imeandikwa prostate iko normal.
Hyo statement ya "tiny hperechoic lession" haijaandikwa popote kwenye report yako.
Ripoti ni hii nilipewa jana
IMG_20230217_204013_3.jpg
 
UMU PRESHA TUPUUU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DOKTA KASEMA HAKUNA CHA VIASHIRIA VYA KANSA WALA NINI[emoji23][emoji23]
NI KIJIWE KINAELEKEA KUSHUKA KUELEKEA KWENYE KIBOFU

ila haya maumivu ninayo yasikia kama wembe unapita kwenye blada
 
Back
Top Bottom