Corluka Neven
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 317
- 358
- Thread starter
-
- #21
Hapo palipo andika "CAL" ndio jiwe iloKweli kila mtu na fani yake ,hapo mimi sioni hata jiwe moja kwenye hiyo picha.
Una miaka mingapi boss tuanzie hapo.mmmh naona kama nachezewa kimazingara[emoji848][emoji848][emoji848]
Hili la PROSTATE naombeni majibu wakuu" VERY TINY HYPERCHOIC LESION ina maana gani???
Majibu napeleka next week
Dah Mungu amuepushieUna miaka mingapi boss tuanzie hapo.
Mbona kama unaanza kubdevelop BPH mapema hivi wakati umri bado
hypoechoic nodule, au lession inaweza kua sign ya kua umedevelop prostate cancer.
Mkuu usipanicmmmh naona kama nachezewa kimazingara[emoji848][emoji848][emoji848]
Hili la PROSTATE naombeni majibu wakuu" VERY TINY HYPERCHOIC LESION ina maana gani???
Majibu napeleka next week
du pole mkuu. ayo mawe chanzo ni nini wanasema?Matatu kushoto moja kulia
Very tiny hyperechoic lession= kivimbe kidogo sana kinachong'aammmh naona kama nachezewa kimazingara[emoji848][emoji848][emoji848]
Hili la PROSTATE naombeni majibu wakuu" VERY TINY HYPERCHOIC LESION ina maana gani???
Majibu napeleka next week
Yesuu[emoji26][emoji26][emoji40][emoji40] 29 yrsUna miaka mingapi boss tuanzie hapo.
Mbona kama unaanza kubdevelop BPH mapema hivi wakati umri bado
hypoechoic nodule, au lession inaweza kua sign ya kua umedevelop prostate cancer.
Mmmh leo imekuaje?mbona napimaga naambiwa ipo normal kila sikuVery tiny hyperechoic lession= kivimbe kidogo sana kinachong'aa
Tulia, fuata zaidi maelekezo ya daktari wako na pia kama una hoja au maswali muulize yeye...huku mitandaoni utachanganyikiwa.Yesuu[emoji26][emoji26][emoji40][emoji40] 29 yrs
Hata kwenye report Yako imeandikwa prostate iko normal.Mmmh leo imekuaje?mbona napimaga naambiwa ipo normal kila siku
Daah kabisaa maana imebidi nikimbie niende hospital nyingine uku mjini na majibu yangu anisomee vizuri yako vipi...maana[emoji119]Tulia, fuata zaidi maelekezo ya daktari wako na pia kama una hoja au maswali muulize yeye...huku mitandaoni utachanganyikiwa.
Ripoti ni hii nilipewa janaHata kwenye report Yako imeandikwa prostate iko normal.
Hyo statement ya "tiny hperechoic lession" haijaandikwa popote kwenye report yako.
Sijajua nabadili wapiBadili na hiyo picha ya avatar Yako DP mbaya sana