Itel A51
Member
- Jun 4, 2020
- 57
- 110
Habari zenu wakuu?
I hope mko poaa wanajukwaa.
Mwaka 2020 niliandika post hii kuhusu binti mmoja ambaye alikua na ujauzito wangu lakini mimi kama muhusika nilionesha kutilia shaka ujauzito huo, na sababu za mimi kuwa na mashaka niliziweka katika post hio
>>>Ulishawahi kusingiziwa ujauzito wakati wewe si muhusika?
Baada ya kupata ushauri kutoka kwa watu mbalimbali, wanafamilia pamoja na maoni mbalimbali kutoka katika jukwaa hili, niliamua kumwambia binti kuwa AKISHAJIFUNGUA KISHA TUKIMUONA MTOTO ndio tutajua kuwa mtoto ni wa kwangu au sio.
Mtoto alizaliwa, lakini ni AMEFANANA SANA NA MAMA YAKE!!! Japo mtoto ni wa kiume lakini hakuna mfanano wa moja kwa moja na mm baba yake!
Nimewashirikisha watu kadhaa, watu wazima wenye hekima zao, na wanfamilia, wamenishauri mambo mengi, ambayo yamenipa funzo kubwa na kunifanya nichukue uamuzi wa kukubali MAJUKUMU YOTE YA KULEA MTOTO HUYU KAMA BABA HALISI, na kukubali kwa moyo mmoja na mkunjufu kuwa huyu ni wa kwangu. Nimefanya maamuzi haya kwa akili zangu timamu kabisa!.
CHANGAMOTO ILIYOPO SASA!!!
Baada ya kuamua kuwa ntalea mwanangu huyu, nkaamua kurudisha mawasiliano kwa asilimia 100% na mama mtoto wangu kwasababu hatukua kwenye mawasiliano mazuri kutokana na hali halisi. nimemueleza dhamira yangu ya kuwa baba muwajibikaji na kulea mtoto wangu huyu!
Lengo langu likiwa endapo tutayaweka mambo sawa kati yangu mm na yeye, basi tuendelee na maisha kama wanandoa coz naamini wote tulikua na makosa katika hili. Ila Bado Sijamwambia moja kwa moja kuwa dhamira yangu ni nini.
Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya mm kujishusha na kukubali mtoto huyu, mwanamke huyu sasa yeye ndo AMEKUA NA KIBURI NA JEURI FLANIi ambayo utaiona katika mazungumzo yake na matendo yake tu. Jambo hilii linazidi kunipa mashaka na kunikatisha tamaa kabisa, coz nashindwa kuelewa tena nini kinaendelea katika akili yake.
Hivyo wadau naomba mnishauri,
I hope mko poaa wanajukwaa.
Mwaka 2020 niliandika post hii kuhusu binti mmoja ambaye alikua na ujauzito wangu lakini mimi kama muhusika nilionesha kutilia shaka ujauzito huo, na sababu za mimi kuwa na mashaka niliziweka katika post hio
>>>Ulishawahi kusingiziwa ujauzito wakati wewe si muhusika?
Baada ya kupata ushauri kutoka kwa watu mbalimbali, wanafamilia pamoja na maoni mbalimbali kutoka katika jukwaa hili, niliamua kumwambia binti kuwa AKISHAJIFUNGUA KISHA TUKIMUONA MTOTO ndio tutajua kuwa mtoto ni wa kwangu au sio.
Mtoto alizaliwa, lakini ni AMEFANANA SANA NA MAMA YAKE!!! Japo mtoto ni wa kiume lakini hakuna mfanano wa moja kwa moja na mm baba yake!
Nimewashirikisha watu kadhaa, watu wazima wenye hekima zao, na wanfamilia, wamenishauri mambo mengi, ambayo yamenipa funzo kubwa na kunifanya nichukue uamuzi wa kukubali MAJUKUMU YOTE YA KULEA MTOTO HUYU KAMA BABA HALISI, na kukubali kwa moyo mmoja na mkunjufu kuwa huyu ni wa kwangu. Nimefanya maamuzi haya kwa akili zangu timamu kabisa!.
CHANGAMOTO ILIYOPO SASA!!!
Baada ya kuamua kuwa ntalea mwanangu huyu, nkaamua kurudisha mawasiliano kwa asilimia 100% na mama mtoto wangu kwasababu hatukua kwenye mawasiliano mazuri kutokana na hali halisi. nimemueleza dhamira yangu ya kuwa baba muwajibikaji na kulea mtoto wangu huyu!
Lengo langu likiwa endapo tutayaweka mambo sawa kati yangu mm na yeye, basi tuendelee na maisha kama wanandoa coz naamini wote tulikua na makosa katika hili. Ila Bado Sijamwambia moja kwa moja kuwa dhamira yangu ni nini.
Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya mm kujishusha na kukubali mtoto huyu, mwanamke huyu sasa yeye ndo AMEKUA NA KIBURI NA JEURI FLANIi ambayo utaiona katika mazungumzo yake na matendo yake tu. Jambo hilii linazidi kunipa mashaka na kunikatisha tamaa kabisa, coz nashindwa kuelewa tena nini kinaendelea katika akili yake.
Hivyo wadau naomba mnishauri,
- Hii inamaana gani?
- Niachane na huyu binti nifocus na malezi ya huyu mtoto tu? (coz nlikua na plan za kumuoa huyu dada kama tutafanikiwa kumaliza tofauti zetu)
- Niwapotezee tu wote kwa kuassume tu hii ni life accident, nianze upya huku nkiwa nmejifunza kutokana na makosa??
- Au nifanyaje?