MREJESHO: Ulishawahi kusingiziwa ujauzito wakati wewe si muhusika? Je, ulifanyaje kukabiliana na hali hiyo?

MREJESHO: Ulishawahi kusingiziwa ujauzito wakati wewe si muhusika? Je, ulifanyaje kukabiliana na hali hiyo?

Nina demu yupo kwao Shishibaby huko, unachopitoa ni kama mimi, huyu wangu siku tulivyomaliza kulana kula tunda akaniambia ni siku zangu za hatari je ikiingia itakuaje nikapotezea hiyo story.

Baada ya hapo akanichek miez 6 baadae nna mimba yako nikamwambia acha utani, akasusa eti sitakuambia lolote tena.

Mwaka mmoja baadae akanitafuta tuma matumizi ya mtoto anaumwa, nikatuma fedha fulani.

Nikasema nakuja kumuona mtoto akazima simu alivyosikia nipo mkoa alipo.

Nikakaa akaja kunitafuta last year mtoto yupo Nursery akanitumia picha picha pale, akasema tumalize tofaut zetu nk.
Ila nilinotisi yafutayo

1. Bado hataki nifike alipo nione mtoto
2. Anapenda nitoe matumiz ya mtoto kuliko kuniunganisha na mtoto
3. Kuna siku nimeforce niongee na mtoto, asee dogo hana adabu, ananijib ujinga na mama yake anacheka cheka tu
4. Wakati naongea nae dogo hakuwa excited kwamba for first time naongea na dady, nikawaza eidha amezoea na kulidhika na mama yake, au kabla ya kupewa simu aongee na mm alipewa signal ongea na mtu fulani (baba mkubwa, mdogo, baba as baba)

Napenda sna yule dogo awe wangu kama kweli koz nna story ndefu na mama yake, ila hayo mazingira yanafanya niogope kuonekana naforce kumiliki damu ya mtu.

Tuna miez 6 hadi sasa hatutafutani
Huyo sio wako ana baba mwingine,X kakuona nice guy
 
Mmoja kati ya hao ni rafiki yangu, alikua anajipanga waende wakatoe mahali. Later dada akamwambia aliteleza kidogo mtoto sio wake ila yuko tayari kuolewa 😅

Kwahiyo mmoja alichomokea kwenye mimba, alilea mimba miezi minne. Hao wengine wamehudumia miaka 3.
Tunasemaga wanaume wabaya ILA sisi wanawake tukiwa na jambo letu, Iblisi bin kichefchef anachukua notes....
 
Kwa kifupi unasumbua mahakama tuu lakini ukweli uko wazi hapo uko unamsumbua mke wa mtu na mtoto wa wenyewe acha usumbufu kwa familia za wenyewe usijekujuta badae
 
Habari zenu wakuu?

I hope mko poaa wanajukwaa.

Mwaka 2020 niliandika post hii kuhusu binti mmoja ambaye alikua na ujauzito wangu lakini mimi kama muhusika nilionesha kutilia shaka ujauzito huo, na sababu za mimi kuwa na mashaka niliziweka katika post hio

>>>Ulishawahi kusingiziwa ujauzito wakati wewe si muhusika?

Baada ya kupata ushauri kutoka kwa watu mbalimbali, wanafamilia pamoja na maoni mbalimbali kutoka katika jukwaa hili, niliamua kumwambia binti kuwa AKISHAJIFUNGUA KISHA TUKIMUONA MTOTO ndio tutajua kuwa mtoto ni wa kwangu au sio.

Mtoto alizaliwa, lakini ni AMEFANANA SANA NA MAMA YAKE!!! Japo mtoto ni wa kiume lakini hakuna mfanano wa moja kwa moja na mm baba yake!

Nimewashirikisha watu kadhaa, watu wazima wenye hekima zao, na wanfamilia, wamenishauri mambo mengi, ambayo yamenipa funzo kubwa na kunifanya nichukue uamuzi wa kukubali MAJUKUMU YOTE YA KULEA MTOTO HUYU KAMA BABA HALISI, na kukubali kwa moyo mmoja na mkunjufu kuwa huyu ni wa kwangu. Nimefanya maamuzi haya kwa akili zangu timamu kabisa!.

CHANGAMOTO ILIYOPO SASA!!!
Baada ya kuamua kuwa ntalea mwanangu huyu, nkaamua kurudisha mawasiliano kwa asilimia 100% na mama mtoto wangu kwasababu hatukua kwenye mawasiliano mazuri kutokana na hali halisi. nimemueleza dhamira yangu ya kuwa baba muwajibikaji na kulea mtoto wangu huyu!

Lengo langu likiwa endapo tutayaweka mambo sawa kati yangu mm na yeye, basi tuendelee na maisha kama wanandoa coz naamini wote tulikua na makosa katika hili. Ila Bado Sijamwambia moja kwa moja kuwa dhamira yangu ni nini.

Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya mm kujishusha na kukubali mtoto huyu, mwanamke huyu sasa yeye ndo AMEKUA NA KIBURI NA JEURI FLANIi ambayo utaiona katika mazungumzo yake na matendo yake tu. Jambo hilii linazidi kunipa mashaka na kunikatisha tamaa kabisa, coz nashindwa kuelewa tena nini kinaendelea katika akili yake.

Hivyo wadau naomba mnishauri,
  • Hii inamaana gani?
  • Niachane na huyu binti nifocus na malezi ya huyu mtoto tu? (coz nlikua na plan za kumuoa huyu dada kama tutafanikiwa kumaliza tofauti zetu)
  • Niwapotezee tu wote kwa kuassume tu hii ni life accident, nianze upya huku nkiwa nmejifunza kutokana na makosa??
  • Au nifanyaje?
MSAADA WAKUU!!
Umeona hata kadi ya clinic?
Sasa mwanamke hauishi nae unawezaje kumpa mimba
 
Sema kuna umuhimu wa kujua family background kabla ya kufanya matusi. Kuna familia hazijaumbwa na haya kabisaaaa....shukuru Mungu alitembea na mchina, ingekua mbongo mwenzako ungesakiziwa hatari
Kabisa. Kila siku nashukuru Mungu kwa hilo. Ingekuwa muafrika ningeambiwa kafanana na babu upande wa mwanamke.

Ilikuwa tamaa za ujanani wala sikuwa na dhamira ya kufanya nae maisha ila ndio mimba ya Jet Li ikaja tena.
 
Nina demu yupo kwao Shishibaby huko, unachopitoa ni kama mimi, huyu wangu siku tulivyomaliza kulana kula tunda akaniambia ni siku zangu za hatari je ikiingia itakuaje nikapotezea hiyo story.

Baada ya hapo akanichek miez 6 baadae nna mimba yako nikamwambia acha utani, akasusa eti sitakuambia lolote tena.

Mwaka mmoja baadae akanitafuta tuma matumizi ya mtoto anaumwa, nikatuma fedha fulani.

Nikasema nakuja kumuona mtoto akazima simu alivyosikia nipo mkoa alipo.

Nikakaa akaja kunitafuta last year mtoto yupo Nursery akanitumia picha picha pale, akasema tumalize tofaut zetu nk.
Ila nilinotisi yafutayo

1. Bado hataki nifike alipo nione mtoto
2. Anapenda nitoe matumiz ya mtoto kuliko kuniunganisha na mtoto
3. Kuna siku nimeforce niongee na mtoto, asee dogo hana adabu, ananijib ujinga na mama yake anacheka cheka tu
4. Wakati naongea nae dogo hakuwa excited kwamba for first time naongea na dady, nikawaza eidha amezoea na kulidhika na mama yake, au kabla ya kupewa simu aongee na mm alipewa signal ongea na mtu fulani (baba mkubwa, mdogo, baba as baba)

Napenda sna yule dogo awe wangu kama kweli koz nna story ndefu na mama yake, ila hayo mazingira yanafanya niogope kuonekana naforce kumiliki damu ya mtu.

Tuna miez 6 hadi sasa hatutafutani
Hapo hauna chako piga kimya tu
 
Ahsante sana...

Kwa kweli hii jeuri nnayo iona sasa inanipa mashaka, nawaza labda huenda kwa sababu mwanzo mm ndo nlikua kauzu sasa anaona nmekua mpole kwahyo na yeye ananona ni muda wake wa kuvimba?
Usimchekee huyo atakupoteza.
 
Back
Top Bottom