Thought the same too. Placebo works too !!!Sounds like placebo effect. Anyway la msingi mambo yanaenda poa, La msingi tusirudi tulipokwama. Kila la kheri mkuu
Mitaani zinajulikana hivyo hivyo Lozi /zabibu kavu. Penye nia pana njia,baada ya kushauriwa na FaizaFoxy kutumia hizo lozi na zabibu kavu,kwanza niliingia google ili kuzijua na kujua faida zake mwilini. Nami nashauri kwa yeyote anayehitaji kuzijua vizuri aingie Google!Nimesoma comment za watu mpaka nimecheka hasa hasa huyu mdudu anayeitwa lozi amazua tafurani na ndugu yake zabibu kavu na hakuna mtu aliyjibu kwa ufasaha ni madude gani na mitaani yanajulikana kwa jina gani ambalo nirahisi
Hayo madude kumbe yapo kwenye ma supermarket ya mitaani tuu yanataka kufanana na korosho. Bado zabibu kavu ndio kitu kigeni? je ni tetere zake zilizokaushwa? je! ni zabibu zenyewe wimekaushwa au ni majani yake au mizizi yake? na yanapatikana maduka gani?Mitaani zinajulikana hivyo hivyo Lozi /zabibu kavu. Penye nia pana njia,baada ya kushauriwa na FaizaFoxy kutumia hizo lozi na zabibu kavu,kwanza niliingia google ili kuzijua na kujua faida zake mwilini. Nami nashauri kwa yeyote anayehitaji kuzijua vizuri aingie Google!
Bahati mbaya nimeshindwa kutuma picha zake hapa.
Ni zabibu zilizokaushwa,nazo zinapatikana sokoni na kwenye maduka ya viungo vya pilau / vyakulaHayo madude kumbe yapo kwenye ma supermarket ya mitaani tuu yanataka kufanana na korosho. Bado zabibu kavu ndio kitu kigeni? je ni tetere zake zilizokaushwa? je! ni zabibu zenyewe wimekaushwa au ni majani yake au mizizi yake? na yanapatikana maduka gani?
Mh! Kwahiyo kuharisha kwa sana siku zote hizo ulikua huendi kwenye mishe?Kama uko Dar es salaam vitu vyote hivyo isipokuwa maziwa fresh na kokwa la parachichi vinapatikana kariakoo kwenye duka moja hivi lililopo mkabala na soko la kariakoo linauza viungo vya pilau.
Hatahivyo sishauri mama mjamzito au anayenyonyesha kutumia juice hiyo maana inavuruga tumbo na kusababisha kuharisha.
Naweza tumia hata azam milk? Ila tende nimekosaHiyo nainywa maramoja tu kisha jioni natengeneza nyingine.