Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Mkuu nasibiria ile ofa niliomiss liniNilipost biashara yangu ya Pub humu ambayo ipo kinyerezi mahakamani road inayoitwa Runway Pub.
Hakika muitikio ni mzuri sana tofauti na mitandao mingine kama insta.
Wana JF wengi humu wananisapoti vizuri sana . Watu kuacha 30,50 kawaida sana wengine mpaka laki huko hakika inanipa nguvu sana .
Utumieni vizuri huu mtandao ni wa muhimu sana .
View attachment 3099357
View attachment 3099359
Pia bila kusahau kila jumapili tuna karaoke kutoka kwa King of Karaoke Allen Soul. Huyu Allen Soul ndiye muafrica pekee aliyechaguliwa kushiriki mashindano ya Karaoke duniani yatakayofanyika America.
View attachment 3099361
Uwe unapost mkeka ulioshinda! Sio kaumia kumbe umekula 20kLeo nipo hapo nataka nyama choma safi kabisa mhindi kashaumia Jana lazima Leo niwepo
Nikupostie Ili iwejeUwe unapost mkeka ulioshinda! Sio kaumia kumbe umekula 20k
πππ Itakuwa baada ya kulewa walianza kujitambulisha kwa id zaoSawa,ila bado sijaelewa kajuaje wana jf kuacha 30-50 ni kawaida je tukifuka pale tutatakiwa kujitambulishaππ?
Thats wa ALAVYU π₯π₯Andaa koo ni mwendo wa kumoka mpk kucheee π€£
Tulia ntakushtua shem πΉThats wa ALAVYU π₯π₯
Tunaenda lini?
Nikuletee wateja wa vijora?Tulia ntakushtua shem πΉ
Walete shem tupige pesa week-end tukamwagilie koo πΉπΉπΉNikuletee wateja wa vijora?
π π π π π€£π€£Leo nipo hapo nataka nyama choma safi kabisa mhindi kashaumia Jana lazima Leo niwepo
Waje kutumbua pesa au sio ? [emoji3][emoji3]Siku ya karioke leo msikose kuja.
Na kupata burudaniWaje kutumbua pesa au sio ? [emoji3][emoji3]