Mrejesho wa biashara yangu; Jamiiforum ishukuriwe sana

Mrejesho wa biashara yangu; Jamiiforum ishukuriwe sana

hongera, soon na mimi nitapost mrejesho biashara ya pub yangu iliyopo mkoa wa pwani awali niliomba ushauri humu namna ya kuanza mawazo mengi yalikuwa negative lakini biashara ilishaanza.
 
Nilipost biashara yangu ya Pub humu ambayo ipo kinyerezi mahakamani road inayoitwa Runway Pub.

Hakika muitikio ni mzuri sana tofauti na mitandao mingine kama insta.

Wana JF wengi humu wananisapoti vizuri sana . Watu kuacha 30,50 kawaida sana wengine mpaka laki huko hakika inanipa nguvu sana .

Utumieni vizuri huu mtandao ni wa muhimu sana .

View attachment 3099357

View attachment 3099359

Pia bila kusahau kila jumapili tuna karaoke kutoka kwa King of Karaoke Allen Soul. Huyu Allen Soul ndiye muafrica pekee aliyechaguliwa kushiriki mashindano ya Karaoke duniani yatakayofanyika America.
View attachment 3099361
Mkuu nasibiria ile ofa niliomiss lini
Bgupsana
 
Yaan sijafika lakn kwa mazingira mazuri nayoona hata siitahi kuja na mizigo ntaifurahiayahaoopohapo

Kaziiendelee
 
Sawa,ila bado sijaelewa kajuaje wana jf kuacha 30-50 ni kawaida je tukifuka pale tutatakiwa kujitambulisha😁😁?
😂😂😂 Itakuwa baada ya kulewa walianza kujitambulisha kwa id zao
 
Msikose kuja Runway Pub
Siku ya jumamosi kutakuwa na live band.
Siku ya jumapili kama kawaida kutakuwa na karaoke.
 
Back
Top Bottom