username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
- Thread starter
-
- #21
Karibu tena na tena.Nilipotoka IKUPA pale nikapita hapo juzi tu.
Asante sana mkuu.Nitarudi tena Runway Pub kiwanja cha maana sana Kinyerezi.
karibu sanaHaya nitakuja mkuu,
Asante sanaHongera sana.
Karibu sanaKama nilivyokuahidi jumamosi nitakua hapo na jopo langu
thanksGood π
Mbona sikuwaona nilikuwa kwenye meza upande wa kushoto napiga vyombo πNilikuja na wanangu. Nitakupa feedbsck PM baadhi ya vitu mkuu.
asanteHongera sana mungu,Uendelee kubarikiwa
asanteKumbe ndio pale kinyerezi ketcha, hongera kamanda
Local beer elfu 2 tu .Bei ya vinywaji ni muhimu, si unajua tena mambo ya bajeti.
asante pia karibu sanaSafi sana kiongozi. Piga KAZI
Tulikaa gizani na jezi za Yanga, utakua ulikua ushawaka SavannahMbona sikuwaona nilikuwa kwenye meza upande wa kushoto napiga vyombo π
Karibu sanaLeo nipo hapo nataamka nyama choma safi kabisa mhindi kashaumia Jana lazima Leo niwepo
π₯π₯π₯π₯Tulikaa gizani na jezi za Yanga, utakua ulikua ushawaka Savannah
Karibu tenaMbona sikuwaona nilikuwa kwenye meza upande wa kushoto napiga vyombo π
mtanikuta Small Planet-never miss weekend hapo Tabata BimaMje kuanzia vibe hapa then mida mibovu tunaelekea kitambaa cheupe,Small planet etc π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£