Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Ipo powaElfu 5 mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo powaElfu 5 mkuu
Karibu sanaIpo powa
Ovyoo, umbea wa nini sasa we fala, kuungana mkono ni jambo la kawaida kwako na hata kwa yeyote yule, ukija hapa jukwaani tutapeana support kama wana JF, kuhusu umbea, labda nyie washamba msiojulikana mje kisirisiri, na kwa taarifa yenu maana mnafuatilia hii (Thread) sisi tutakuja kikamilifu mjipange maboya nyie.Wengine wanafuata umbea hapo
Sawa!Asante sana mkuu.
Drums, gitaa au vyombo gani ???Mbona sikuwaona nilikuwa kwenye meza upande wa kushoto napiga vyombo 😃
Drums, gitaa au vyombo gani ???
Fafanua basi Mkuu
🤣🤣🤣
🤣Drums, gitaa au vyombo gani ???
Fafanua basi Mkuu
🤣🤣🤣
Asaaa mbona hausemi vyombo gani ???🤣🤣🤣
🙏Ovyoo, umbea wa nini sasa we fala, kuungana mkono ni jambo la kawaida kwako na hata kwa yeyote yule, ukija hapa jukwaani tutapeana support kama wana JF, kuhusu umbea, labda nyie washamba msiojulikana mje kisirisiri, na kwa taarifa yenu maana mnafuatilia hii (Thread) sisi tutakuja kikamilifu mjipange maboya nyie.
HakikaThis platform is too deep.
Soda ,Bavaria ,juisi za boksi nk.Sisi ambao hatunywi inakuaje kuna soft drinks gani ?
Je kuna lodge pia kwa ambao hutoka mikoani hupenda kupata huduma chakula &malazi.Tunakesha pia
Lodge hatuna ila zipo jirani.Je kuna lodge pia kwa ambao hutoka mikoani hupenda kupata huduma chakula &malazi.
Shukrani sana.Binafsi nimeshakuja hpo mara3