username required
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 343
- 1,069
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
raraa reree chimbo umeliona lakini? 😂😂karibuni sana
Tuna fanyaje sasa 😄raraa reree chimbo umeliona lakini? 😂😂
Mzee wa likes hana baya huyoraraa reree chimbo umeliona lakini? 😂😂
Tujichange una shingapi? 😂Tuna fanyaje sasa 😄
Nakutafutia wateja, huyo jitahidi kuweka wahudumu wazuri utamchoka. 🤣Mzee wa likes hana baya huyo
Nilikuwa hapo jmosiMzee wa likes hana baya huyo
Hongera zake
Nitakupa ofaTujichange una shingapi? 😂
😂Nakutafutia wateja, huyo jitahidi kuweka wahudumu wazuri utamchoka. 🤣
Karibu tenaNilikuwa hapo jmosi
KaribuHongera zake
ulifanikiwa kufika?Hili dojo safi sana hongera mkuu
SafiNilikuja na wanangu. Nitakupa feedbsck PM baadhi ya vitu mkuu.
karibuSafi
Hongera sana mkuuNilipost biashara yangu ya Pub humu ambayo ipo kinyerezi mahakamani road inayoitwa Runway Pub.
Hakika muitikio ni mzuri sana tofauti na mitandao mingine kama insta.
Wana JF wengi humu wananisapoti vizuri sana . Watu kuacha 30,50 kawaida sana wengine mpaka laki huko hakika inanipa nguvu sana .
Utumieni vizuri huu mtandao ni wa muhimu sana .
View attachment 3099357
View attachment 3099359
Pia bila kusahau kila jumapili tuna karaoke kutoka kwa King of Karaoke Allen Soul. Huyu Allen Soul ndiye muafrica pekee aliyechaguliwa kushiriki mashindano ya Karaoke duniani yatakayofanyika America.
View attachment 3099361
Bado mkuu ila nitafika nije kwenye karaoke kupiga seyo ya fally ipupaulifanikiwa kufika?
karibu sanaBado mkuu ila nitafika nije kwenye karaoke kupiga seyo ya fally ipupa