ndo maana yake mambo ya kishambashamba na wengine wamezaliwa Ocean Road ila mishamba mitindiga tu'Mijitu mitindiga' Kilosa kuna kijiji nilifika kinaitwa Tindiga,karibu na Mikumi
Ndio raha ya JF, unaaa kwa mangi huku una peruzi nyuzi km hzTena siyo mwandiko tu mpaka "maudhui" ya huu "uzi" ni kama ya Vlad kabisa, kila kitu kimefanana, mimi nahisi huyu ni yule yule Vlad anawachezea watu akili humu ndani. Watu wanatafuta "kick" mpaka humu JF, lakini JF ni raha sana duh!
Duhndo maana yake mambo ya kishambashamba na wengine wamezaliwa Ocean Road ila mishamba mitindiga tu
Acha tu nliumia nikaandika yangu kisha nikaripoti ukafungwa mijitu mitindiga sana humuNiliipata hiyo habari ndg yangu mzigua alinitumia huko pm mm kwanza hata situmii sasa mtu anaweka thread yake labda alinijia ndotoni ndio mambo ya jf hayo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] vlad akishakunywa yale maji anaanzaga kuandika ufyatufyatu tuu, haya ngoja tumsubirie akilogin akaunti ya pili ajijibu mwenyeweNatumai mu wazima wa afya,kwanza namshukuru Mungu kwa uzima na afya,namshukuru pia kwa kunipatia vlad, wengi mlinibeza na kutoa maneno makali lakini nashukuru pia kwa mlioniunga mkono juu ya kuweka wazi hisia zangu,nimempata aliye sahihi kwangu chaguo la moyo wangu,Mtu ambaye nilikuwa naomba kila Siku nimpate mwanaume mwenye hofu ya Mungu,msikivu,mwenye kujali,na anayejua mwanamke wake anapenda nn, japo hapa wengi mtabeza kwakuwa mshamzoea Vlad in Mtu wa kuponda na anayeonekana tofauti ni hivi ukimpenda Mtu mtazame yeye kama yeye mjue kiundani sio kwa comment zake wala kwa nyuzi zake za Jf,bali kwa matendo yake unayoyaona,nakupenda Vlad wangu mapenzi makubwa unanionyesha, zawadi pekee ni kuendelea kukupenda,kukujali na kukuheshimu,kuwa proud kokote coz am all yours!!najua ushawahi kuwa na mahusiano kabla hujakutana nami,pengine hukupata chaguo sahihi,Mimi ndo chaguo lako sahihi wacha wakatae,wapinge ndo ishakuwa hakuna namna,wasiopenda watapata tabu sana....................................................Najua upo na utasoma ujumbe wako huu love you my putin(mshkaji wangu,rafiki yangu,mtunza vyangu visiri mwenye kunisitiri,fundi mitambo wangu[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] NB;Usidharau sauti yako,usidharau hata wazo lako unaloliona ni la kipuuzi,tena kwakuwa ni la kipuuzi huenda wengi hawafikirii kulifanya hiyo ni faida simama nalo,tunawaza makubwa sana ama Yale ambayo tayari yamesha fanikisha wengine,kama sauti yako inakusukuma kufanya jambo hata kama halijawahi kufanywa ama limefanywa na yeyote lifanye kuna kitu ndani yake, dunia inabadilika kila iitwapo Leo,na mahitaji yetu yanabadilika kutokana na mazingira ,usisubiri watu wagundue ndo ufate "KUWA WA KWANZA WAKUFATE" hebu niambie in wazo gani uliwahi kuwa nalo likadharauliwana sasa imekuwa ni kitu kinacho kupigisha hatua au kitu kikubwa kwenye maisha yako!??? Mlopita wake wenza mtaniwia radhi pengine hamkujua thamani yake mm African princess naijua............Nawasilisha. Mrs Vlad.
SHUKRIA!Mm naww tena chukua tu mrembo..
Tena siyo mwandiko tu mpaka "maudhui" ya huu "uzi" ni kama ya Vlad kabisa, kila kitu kimefanana, mimi nahisi huyu ni yule yule Vlad anawachezea watu akili humu ndani. Watu wanatafuta "kick" mpaka humu JF, lakini JF ni raha sana duh!
Analeta utindiga wake hapa JF[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] vlad akishakunywa yale maji anaanzaga kuandika ufyatufyatu tuu, haya ngoja tumsubirie akilogin akaunti ya pili ajijibu mwenyewe
Anzia mwanzo, mwanzo kabisaaaNisome comments au nianzie tu hapa hapa?
so kajiandikia!Tena siyo mwandiko tu mpaka "maudhui" ya huu "uzi" ni kama ya Vlad kabisa, kila kitu kimefanana, mimi nahisi huyu ni yule yule Vlad anawachezea watu akili humu ndani. Watu wanatafuta "kick" mpaka humu JF, lakini JF ni raha sana duh!
Birthday girlAcha tu nliumia nikaandika yangu kisha nikaripoti ukafungwa mijitu mitindiga sana humu
Hakikaa mkuu...hamna haja yakuigiza maishaMnawatisha vijana washindwe kufunguka humu....mm bora nikose hao madem kuliko kuanza kujifanya nina tabia njema
Utasubiri sana mkuu mi siyo vlad,na Vlad mwenyewe haji Leo hapa.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] vlad akishakunywa yale maji anaanzaga kuandika ufyatufyatu tuu, haya ngoja tumsubirie akilogin akaunti ya pili ajijibu mwenyewe
Anza tu hapa hapa mkuuNisome comments au nianzie tu hapa hapa?
Hahaha ameshakuja pm badala muongee yanayowahusu bado analeta story zile zile za wadada wa jf....Nimmkumbuka mtu mmoja anataka kuchat huku anasema wadada w jf mnajidai sana mpo juu kila mtu mwananume wake ana hela mna maisha mazuri sisi wengine hatuwawezi yet kila siku unachat nae unajitahidi kumuweka sawa asijiskie mnyonge ila anakuprovoke mpaka unaona hii sasa kero au analeta kaunafiki fulani hivi unataka mchat hata stori ila killa saa kusema wadada wa jf fyokofyoko mimi kama dada wa jf nitajiskiaje aaaaaa
Ile post niamini mie haikuwalenga nyie hata ilinilenga mie maana usiku kama wa saa 7 hivi mtu aliweka picha zangu jukwaani sema zikawahiwa kutolewa asubuhi ikaja ile ile lengo ilikuwa ni kuniprovoke ila nayo tukailia pini halafu ni mdada tu tena rafiki yenu mkubwa tu namuona mshamba tu fala mmoja tu.Yaani mtu akizoea drama humu na kuchimba maisha ya watu na kila mmoja kujifanya anajua kila kitu nakujiona anajua kumbe akili zenyewe za darasa la 2 namdharau tuAsante mkuu wangu nilikumiss pia vyuma vimekaza mpaka mda wa kuingia jf nakosa tupo pamoja
Ilinipita hiyo eeh.upo sahihi kuna drama ilitokea juzi humu inanihusu mie demiss na shunnie nikawaza ina maana ningeendekeza tu na mie ningeanikwa kwa kweli pm huwa najibu mara 2 nkichat na wewe mda mrefu sana nimekusoma na ninakuheshimu kuna mijitu mitindiga sana humu yaani