Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Niliipata hiyo habari ndg yangu mzigua alinitumia huko pm mm kwanza hata situmii sasa mtu anaweka thread yake labda alinijia ndotoni ndio mambo ya jf hayo
Acha tu nliumia nikaandika yangu kisha nikaripoti ukafungwa mijitu mitindiga sana humu
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] vlad akishakunywa yale maji anaanzaga kuandika ufyatufyatu tuu, haya ngoja tumsubirie akilogin akaunti ya pili ajijibu mwenyewe
 
Tena siyo mwandiko tu mpaka "maudhui" ya huu "uzi" ni kama ya Vlad kabisa, kila kitu kimefanana, mimi nahisi huyu ni yule yule Vlad anawachezea watu akili humu ndani. Watu wanatafuta "kick" mpaka humu JF, lakini JF ni raha sana duh!
Mimi huwa najiulizaga watu wanapendana vipi bila kuonana?

Jf hii ndio raha yake bwana!
 
Tena siyo mwandiko tu mpaka "maudhui" ya huu "uzi" ni kama ya Vlad kabisa, kila kitu kimefanana, mimi nahisi huyu ni yule yule Vlad anawachezea watu akili humu ndani. Watu wanatafuta "kick" mpaka humu JF, lakini JF ni raha sana duh!
so kajiandikia!
AHAHAHHAHAHA JF haijawahi KUBORE!
miaka nenda miaka rudi!
 
Hahaha ameshakuja pm badala muongee yanayowahusu bado analeta story zile zile za wadada wa jf....
Aisee huyo alikua anaitaka block kwa gharama yoyote.

Inabidi wajue tu jf wanatumia wadada viwango wenye upeo wao, sasa kama mtu hawawezi basi apambane na wa size zake huko Badoo.
 
Watu hamnipendi eeh?? Mmhhh hatare !!.


Naona shida ni ndogo watu wanapenda kuprovoke wenzao ,lkn wao hawataki kuguswa?

Noo , you reap what you sow , ukinivunjia heshima namm nakuvunjia heshima Mara mbili yake.

Kunipenda?? Dont care at all coz sipo duniani ku entertain kila mtu .

Ukinipenda nakupenda..ukinichukia nakuchukia


Mtoa Mada ,asante sana kwa upendo wako Mama [emoji8][emoji8][emoji8]
 
Asante mkuu wangu nilikumiss pia vyuma vimekaza mpaka mda wa kuingia jf nakosa tupo pamoja
Ile post niamini mie haikuwalenga nyie hata ilinilenga mie maana usiku kama wa saa 7 hivi mtu aliweka picha zangu jukwaani sema zikawahiwa kutolewa asubuhi ikaja ile ile lengo ilikuwa ni kuniprovoke ila nayo tukailia pini halafu ni mdada tu tena rafiki yenu mkubwa tu namuona mshamba tu fala mmoja tu.Yaani mtu akizoea drama humu na kuchimba maisha ya watu na kila mmoja kujifanya anajua kila kitu nakujiona anajua kumbe akili zenyewe za darasa la 2 namdharau tu
 
Ilinipita hiyo eeh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…