Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Usijali shida ni pale tunapotofautiana majukwaan.

Unajua inshu ipo ivi, Nyuzi zangu zote huwa naandika kwa hisia zangu. Huwa sizidirect kwa mtu wala nn.

Naandikaga kwa kukazia nmezaliwa ivo. Sinaga lugha ya kuzunguka sana.

Naandika vile navyoamin mimi ,nasiandiki nikihofu nani na nani watafurahi au watacheka .

Sasa unakuta mtu ,nyuz zangu anachukulia nmemuandika yeye, basi atakuja kukoment na hasira?? Mtu wa ivo nmfanyeje??? ...mwingine ndo kabisaaa anaenda mbali anaanza kutumia ya PM kuniattack?? Mtu wa ivo HAITOKAA ITOKEE NIMUACHE !!



Amu weee nakuelewa mtu wangu !! Nakuelewa sana mjori
kwani wewe ndo Vladmir Putin? sijaelewa mimi hapa
 
Umejishindia coca ya buure ya baridi lkn lazima uinywee hapa hapa

Sina maneno mingi mrembo we ndo unaejua thamani ya ulichonacho usihadaike na walimwengu hawana jema hawa wala usisumbuke kuwaaminisha au kubadili mawazo yao
Vlad anajitahidi sana kujitongoza sijui kwaniniii, simpatii picha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umejishindia coca ya buure ya baridi lkn lazima uinywee hapa hapa

Sina maneno mingi mrembo we ndo unaejua thamani ya ulichonacho usihadaike na walimwengu hawana jema hawa wala usisumbuke kuwaaminisha au kubadili mawazo yao
Asante Wifi yangu wa faida,nakupenda Jana Leo na kesho.... my kapeace.
 
Aaaaa mtu wa urusi tuache bwana weee,kwani we na african princess hamjamalizana tu?
Aaahhhh sawa , basi sawa mkuu ..soga zenu zijikite katika masuala yenu binafsi nyinyi wenyewe , naamin mnayo mengi eehhh but katika yote hayo Nisingependa kuona Neno lolote liwe baya au zuri kumhusu Vlad putin .

Jikiten katika mambo yenu nyinyi tuu.

Veri simpo iyoo au sio?
 
Usijali shida ni pale tunapotofautiana majukwaan.

Unajua inshu ipo ivi, Nyuzi zangu zote huwa naandika kwa hisia zangu. Huwa sizidirect kwa mtu wala nn.

Naandikaga kwa kukazia nmezaliwa ivo. Sinaga lugha ya kuzunguka sana.

Naandika vile navyoamin mimi ,nasiandiki nikihofu nani na nani watafurahi au watacheka .

Sasa unakuta mtu ,nyuz zangu anachukulia nmemuandika yeye, basi atakuja kukoment na hasira?? Mtu wa ivo nmfanyeje??? ...mwingine ndo kabisaaa anaenda mbali anaanza kutumia ya PM kuniattack?? Mtu wa ivo HAITOKAA ITOKEE NIMUACHE !!



Amu weee nakuelewa mtu wangu !! Nakuelewa sana mjori
Basi nahisi JF imekumbumbwa na gonjwa la Janga la Kujihisi!
 
Wanawake bhana

Wanakuja kusifia mboolo huku badala yakusifia chumbani mwao

Hivi mpaka unaamua kujianika humu kisa mkunyenge hahahaha

Kweli siku hizi wanawake wanatongoza na Huyu kama siyo Sr fey sijuic
 
Umejishindia coca ya buure ya baridi lkn lazima uinywee hapa hapa

Sina maneno mingi mrembo we ndo unaejua thamani ya ulichonacho usihadaike na walimwengu hawana jema hawa wala usisumbuke kuwaaminisha au kubadili mawazo yao
Wewe umemshaur vema kabisaa , Wala hasiangaike kuwaaminisha kitu, Waamin wasiamin Shauri zao !! ..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waone kwanza , ningekua mtoto mimi Africa P , angenipenda?? Kwanza nihiv hawajui ..mtoto piniiiiiiiiii yaan piniiiiii kisu kikaliiiiiiiiii mzuriiiiiiiii yaan mzuriiiiiii alafu anashule kichwan na anakazi yakeee


Alafu msela mimi nipo nipo tuu hahahaha
 
Back
Top Bottom