Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Mh tatizo mi sijui kuponda na kuchukia mtu mtandaoni, nshafelii [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Wewe anza kuniponda mimi na kunichukia lazima lile limama likutumie pm,fala kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh tatizo mi sijui kuponda na kuchukia mtu mtandaoni, nshafelii [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Wewe anza kuniponda mimi na kunichukia lazima lile limama likutumie pm,fala kabisa
Powaamambo mrembo
kwani wewe ndo Vladmir Putin? sijaelewa mimi hapaUsijali shida ni pale tunapotofautiana majukwaan.
Unajua inshu ipo ivi, Nyuzi zangu zote huwa naandika kwa hisia zangu. Huwa sizidirect kwa mtu wala nn.
Naandikaga kwa kukazia nmezaliwa ivo. Sinaga lugha ya kuzunguka sana.
Naandika vile navyoamin mimi ,nasiandiki nikihofu nani na nani watafurahi au watacheka .
Sasa unakuta mtu ,nyuz zangu anachukulia nmemuandika yeye, basi atakuja kukoment na hasira?? Mtu wa ivo nmfanyeje??? ...mwingine ndo kabisaaa anaenda mbali anaanza kutumia ya PM kuniattack?? Mtu wa ivo HAITOKAA ITOKEE NIMUACHE !!
Amu weee nakuelewa mtu wangu !! Nakuelewa sana mjori
Basi hapo hutoniona best ha ha ha ha ha ha haMh tatizo mi sijui kuponda na kuchukia mtu mtandaoni, nshafelii [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Vlad anajitahidi sana kujitongoza sijui kwaniniii, simpatii picha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umejishindia coca ya buure ya baridi lkn lazima uinywee hapa hapa
Sina maneno mingi mrembo we ndo unaejua thamani ya ulichonacho usihadaike na walimwengu hawana jema hawa wala usisumbuke kuwaaminisha au kubadili mawazo yao
nimependa busara zako naomba nikaribe PM kama hakuna foleniPowaa
Asante Wifi yangu wa faida,nakupenda Jana Leo na kesho.... my kapeace.Umejishindia coca ya buure ya baridi lkn lazima uinywee hapa hapa
Sina maneno mingi mrembo we ndo unaejua thamani ya ulichonacho usihadaike na walimwengu hawana jema hawa wala usisumbuke kuwaaminisha au kubadili mawazo yao
Tumekosea,tusameehaneAaahh achen izo , Sema nin , Kwann uzi wa mwenzenu ndo mmeugeuza kua kituo chakupigia soga???
Kwann msipigie soga uko PM ktk magroup ??
Aaahhhh sawa , basi sawa mkuu ..soga zenu zijikite katika masuala yenu binafsi nyinyi wenyewe , naamin mnayo mengi eehhh but katika yote hayo Nisingependa kuona Neno lolote liwe baya au zuri kumhusu Vlad putin .Aaaaa mtu wa urusi tuache bwana weee,kwani we na african princess hamjamalizana tu?
Karibu tena mremboAsante Wifi yangu wa faida,nakupenda Jana Leo na kesho.... my kapeace.
Basi nahisi JF imekumbumbwa na gonjwa la Janga la Kujihisi!Usijali shida ni pale tunapotofautiana majukwaan.
Unajua inshu ipo ivi, Nyuzi zangu zote huwa naandika kwa hisia zangu. Huwa sizidirect kwa mtu wala nn.
Naandikaga kwa kukazia nmezaliwa ivo. Sinaga lugha ya kuzunguka sana.
Naandika vile navyoamin mimi ,nasiandiki nikihofu nani na nani watafurahi au watacheka .
Sasa unakuta mtu ,nyuz zangu anachukulia nmemuandika yeye, basi atakuja kukoment na hasira?? Mtu wa ivo nmfanyeje??? ...mwingine ndo kabisaaa anaenda mbali anaanza kutumia ya PM kuniattack?? Mtu wa ivo HAITOKAA ITOKEE NIMUACHE !!
Amu weee nakuelewa mtu wangu !! Nakuelewa sana mjori
Au ndo Calos ze jackUtakuta vladmirovich ndo huyo huyo african princess
Ameshapata anayemuewa inatosha hata wengine wasipo muelewa haitomuumiza,maana ubinadamu kazi, hata uwatendee wema watakusema kwa mabayaSasa utakosa michuchu humu shauri yako
Sina ntachosema kuondoa hayo mawazo yako ubongo ni wako una uhuru na haki ya kuchagua nini uwazeVlad anajitahidi sana kujitongoza sijui kwaniniii, simpatii picha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe utaweza muhudumia putin?msaada muhimu lazima upate wasaidiziAmeshapata anayemuewa inatosha hata wengine wasipo muelewa haitomuumiza,maana ubinadamu kazi, hata uwatendee wema watakusema kwa mabaya
Busara zangu umeziona wapi?nimependa busara zako naomba nikaribe PM kama hakuna foleni
Wewe umemshaur vema kabisaa , Wala hasiangaike kuwaaminisha kitu, Waamin wasiamin Shauri zao !! ..Umejishindia coca ya buure ya baridi lkn lazima uinywee hapa hapa
Sina maneno mingi mrembo we ndo unaejua thamani ya ulichonacho usihadaike na walimwengu hawana jema hawa wala usisumbuke kuwaaminisha au kubadili mawazo yao