Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,760
- 3,733
hapo tu ulipojipitisha na hiko ki nyimbo chako.. mtu mzima mimi kweli wakucheka kiasi hiki BIG NOOHahahahahaaaa.. mimi na wewe tumeanza lini kuzuriana lakini?
Apia???Anakuchora, huyo ndo yeye pia.
Mchumba acha ukorofiNiliposoma hiyo thread ndo nilijua you are one person.
1. Huwezi kuandika para 5 bila kuweka sentensi zenye herufi kubwa (kupayuka);
2. Huwa mara nyingi sana unaweka vituo mahali siyo, huweki nafasi baada ya vituo vidogo na vikubwa, unaweza kianza sentensi kwa herufi ndogo; na
3. Huwa hujui kufupisha, kitu cha kutumia maneno mafupi unazunguka nacho sana.
NB: Unapenda sana attention kama watoto wa kike.
JD tafadhaliMjue Shayo anawauliza mnakunywa vinywaji gani,aanze kutembeza ,msilalamike tu mkirukwa ,maana mnachat sana
Mchumba tunafundishana, tunakumbushana basics za uandishi.Mchumba acha ukorofi
Hahaahahhaaa..hapo tu ulipojipitisha na hiko ki nyimbo chako.. mtu mzima mimi kweli wakucheka kiasi hiki BIG NOO
Hahahha kk naona una ubuyu hot ngoja nikufateeeMchumba tunafundishana, tunakumbushana basics za uandishi.
Ukiona inafaa unajifunza, isipokufaa una achana nayo.
Kuna muda JF kunaboa, so thread kama hizi zinakuwa kama zinachangamsha jukwaa.Sielewi!
Kama mwanzisha mada keshajulikana [ sina hakika kama mnajua au mnahisi na kusadiki tu] na MO yake mnaijua, mbona mada ni moto sana?
Ina maana nyie ambao ‘mmeshamjua’ huyo mwanzisha mada mnapenda drama kiasi hicho?
Hamuwezi kujizuia kumpuuza?
Shaking my little head!
Sina ubuyu wowote, nimedondokea hapa tu nakutana na thread hii.Hahahha kk naona una ubuyu hot ngoja nikufateee
Natumai mu wazima wa afya,kwanza namshukuru Mungu kwa uzima na afya,namshukuru pia kwa kunipatia vlad, wengi mlinibeza na kutoa maneno makali lakini nashukuru pia kwa mlioniunga mkono juu ya kuweka wazi hisia zangu,nimempata aliye sahihi kwangu chaguo la moyo wangu,Mtu ambaye nilikuwa naomba kila Siku nimpate mwanaume mwenye hofu ya Mungu,msikivu,mwenye kujali,na anayejua mwanamke wake anapenda nn, japo hapa wengi mtabeza kwakuwa mshamzoea Vlad in Mtu wa kuponda na anayeonekana tofauti ni hivi ukimpenda Mtu mtazame yeye kama yeye mjue kiundani sio kwa comment zake wala kwa nyuzi zake za Jf,bali kwa matendo yake unayoyaona,nakupenda Vlad wangu mapenzi makubwa unanionyesha, zawadi pekee ni kuendelea kukupenda,kukujali na kukuheshimu,kuwa proud kokote coz am all yours!!najua ushawahi kuwa na mahusiano kabla hujakutana nami,pengine hukupata chaguo sahihi,Mimi ndo chaguo lako sahihi wacha wakatae,wapinge ndo ishakuwa hakuna namna,wasiopenda watapata tabu sana....................................................Najua upo na utasoma ujumbe wako huu love you my putin(mshkaji wangu,rafiki yangu,mtunza vyangu visiri mwenye kunisitiri,fundi mitambo wangu[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] NB;Usidharau sauti yako,usidharau hata wazo lako unaloliona ni la kipuuzi,tena kwakuwa ni la kipuuzi huenda wengi hawafikirii kulifanya hiyo ni faida simama nalo,tunawaza makubwa sana ama Yale ambayo tayari yamesha fanikisha wengine,kama sauti yako inakusukuma kufanya jambo hata kama halijawahi kufanywa ama limefanywa na yeyote lifanye kuna kitu ndani yake, dunia inabadilika kila iitwapo Leo,na mahitaji yetu yanabadilika kutokana na mazingira ,usisubiri watu wagundue ndo ufate "KUWA WA KWANZA WAKUFATE" hebu niambie in wazo gani uliwahi kuwa nalo likadharauliwana sasa imekuwa ni kitu kinacho kupigisha hatua au kitu kikubwa kwenye maisha yako!??? Mlopita wake wenza mtaniwia radhi pengine hamkujua thamani yake mm African princess naijua............Nawasilisha. Mrs Vlad.
Hivi kaka kutongoza mademu wengi pm nako kuna tuzoooSina ubuyu wowote, nimedondokea hapa tu nakutana na thread hii.
Which head bro??Sielewi!
Kama mwanzisha mada keshajulikana [ sina hakika kama mnajua au mnahisi na kusadiki tu] na MO yake mnaijua, mbona mada ni moto sana?
Ina maana nyie ambao ‘mmeshamjua’ huyo mwanzisha mada mnapenda drama kiasi hicho?
Hamuwezi kujizuia kumpuuza?
Shaking my little head!
Sijui, sijawahi kutongoza kipitia PM.Hivi kaka kutongoza mademu wengi pm nako kuna tuzooo
Sawa mchumbaMchumba tunafundishana, tunakumbushana basics za uandishi.
Ukiona inafaa unajifunza, isipokufaa una achana nayo.
Kuna watu wanategemea Jf akiii hahhahaha uwiiii mburaaaahSijui, sijawahi kutongoza kipitia PM.
Mimi humu ni burudani, shughuli zangu nafanyia nje ya humu.
Haya, usiku mwema.Sawa mchumba