Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Asha alikua mwanamke mzuri sana , mwenye kiuno kidogo nahips zilizokimbiana , kifua chake kikipambwa na nyonyo zilizojaa na kugandiana kifuani kwake, makalio sasa uwiiii yaan nilikua nikimuinamisha ashike vidole vyamiguu nabaki na makalio yake makubwaaa, Sura yake ilochanganya na Upemba na minywele mingiiiiiii ndio ulofanya Asha Nimpe Mimba nasaizi analea haonekan humu ...hapa nasubir mtoto..

Mwajuma sasa yeye kamshinda Asha kwa kila kitu,kwanza ana akili sana sio za maisha au za darasan ( mtaalam wa Afya) alafu yupo sexy sana, anajua mapenzi na mahaba, Mwanamke anafanya kila nipatapo muda nmtafute, anafanya kila niwazapo Sexy nimfikirie yeye, so romantic, msafi sanaaa , ana miguno inayosimumua ,ngozi yake tu laini mnooo yaan mnoo, amejawa na manyoya mwilin , amekua ananifanya naunganisha bao mbili kwa wakat mmoja.....

Wacha tuuu mwajuma aingiee maana sio kwa utamu anaonipa hachoshiii yan hachoshi kabisaaaa kama ni hitaji basi yeye ni chakula cha uzima kwangu.
African princess
Aisee
 
Mkuu hivi ndivyo vituko vya JF, unakuta kuna "member" wanamiliki IDs zaidi ya moja(multiple IDs), tena ukichukulia zote ni IDs fake, basi inakuwa rahisi sana kwa mtu kujiandikia "uzi" ili kutafuta "kiki" kama wanavyosema wenyewe.

Lakini yote heri tu, maana tupo humu kujifunza na kufurahi pia, ndiyo raha ya kuwa JF hiyo.
Oooooh yes!!
Hiyo para ya mwisho huwa ndo inafanya niwe JF ever since.
LE
 
Mkuu hivi ndivyo vituko vya JF, unakuta kuna "member" wanamiliki IDs zaidi ya moja(multiple IDs), tena ukichukulia zote ni IDs fake, basi inakuwa rahisi sana kwa mtu kujiandikia "uzi" ili kutafuta "kiki" kama wanavyosema wenyewe.

Lakini yote heri tu, maana tupo humu kujifunza na kufurahi pia, ndiyo raha ya kuwa JF hiyo.
Oooooh yes!!
Hiyo para ya mwisho huwa ndo inafanya niwe JF ever since.
LE
 
Sio mimi sasa .

hahaha umezaliwa katika familia ya Chini sana, Ugumu wa Maisha ukakufundisha Kuyatafuta maisha ungali namiaka 9 tayar unawaza Utakula nn, utavaa nn, na kulala vipi....KIJANA STUKA.

Mbali na Shida na tabu ulizopitia, Wazazi wako hawakubaki Nyuma ,Wakakupigania sanaaa ,umesoma na umepata kazi nzuri pengine hujasoma lkn wazazi kukupa nguvu hatimaye umekua Boss....KIJANA STUKA.

Hapa mjini ,Unajulikana kila Kiwanja starehe na kumbi zote za Starehe hahaha wanakuita 'The Don' wengine papaa hahahaha MASIFA NAWW, WEE NA MASIFA , Daily Pombe na Madems tuu hahahah .....KIJANA STUKA.

katika kupiga story na wanao uku mkipata Pombe unawambie ""Aiseee Mimi nikifa mnizike kwangu au Shamban kwangu au Makaburi ya Kinondon haahahahah MSIKAE KUNISAFIRISHA KUNIZIKA KWETU ,sawa wakuuuu tunyweeeeee .......KIJANA STUKA ,SISI TUTAKUZIKA KWENU UTAKE USITAKE.[emoji23]


Bahati mbaya Hata Dems zako Hujawah wapeleke kwenu, sio sababu hawataki bali wamesha kulazimisha sanaaa lakini unawambia ," Unataka Maisha au unataka nyumban kwetu" hahahah KIJANA STUKA.

KUMBE MBWEMBWE ZOOOOTE IZO HUTAKI MARAFIKI/JAMAA/NA MADEMZ ZAKO WAPAJUE KWENU SABABU TU ,NYUMBA ULOZALIWA NDIO HIOHIO MPAKA LEO HIII, SABABU TU KWENU MAZINGIRA NI YA OVYOOVYO MPAKA LEO HIII[emoji23]....Mjinga mmoja weee , Unapowaza unajisemea "aaahhh Nijenge wakati wazazi wameshazeeeka karibu wajifie hahhah" mjinga mmoja weee, ... Kwa taarifa yako ,Wazazi hawatokaa wakuombe uwajengee nyumba, Kwakua wanajua siku zao zimeisha, Ila wanachokuhakikishia NI BONGEEE LA AIBUUUU ,AIBU UTAKAYOIPATA WAKATI AMBAO MWILI NA ROHO YAKO VIMEACHANA.

Mshikaji wako wa damu atasikika akisemaaa " Huyu jamaaa kweli alikua Fwalaaaa ,yaaan mipesa yote hiyo, nyumbani ni sifuriiiii[emoji23]


Jamaaa mlokua mnakopeshana pesaa atasema " Kujisifia koteeeee hapa mjini kumbe nyumban kwao hamna kitu ,jamaaa ovyoo sana!![emoji23][emoji23]

Yule demu ulomuona ni mama yako atalia akisema " Hiii hiiii hiiiiiii Baby umeondoka pumzika salama ila asante kwa kunijengea nyumba na kunipa biashara/kunitafutia kazi lakini Nmeshangaa kwann Hukuwah kujenga kwenu[emoji23][emoji23][emoji23].

Wale madems wa Night stands ....kila mmoja kwa wakati wake .." hiiiii hiiiiii tangulia ila jamaa weeee kifo kimejua kukuumbuaa yaan mbwembwe zootee ,wazazi wanaishi maisha ya ovyooo nyumba ya kifwalaaa fwalaaa hahahahahahh( ndo utajua Madecent Girlz walivyo[emoji23]...KIJANA STUKA.

Umeoa mwanamke wako mkiwa nashida, umepata mafanikio, Unamtelekeza kisa MICHEPUKO hahahahaha Mjinga mkubwa wewe ...na Upukutishwe Pesaaa weeee ili siku Utakayokufa, Mchepuko aje ajionee hali halisi ya kwenu na mbwembwe zako[emoji23][emoji23][emoji23].

Mjinga we et unasema unamajukumu mengiii hata ushindwe kujenga kwenu, ili hali UNAHONGA HOVYOHOVYO ,kuna kadems umekasomesha weeee nabado kakaja kukupiga chini [emoji23][emoji23][emoji23] JINGA JINGA JINGAAAAAAAAA.


Sikieni ,Aseeee Jengeni kwenu,,, nasema jengeni kwenu, Unless umetokea ktk familia ilosimama, Lkn kwa hali halisi ya Utanzania wetu huuu???? Yapaswa kujua "Kuzaliwa mtoto wakiume au wakwanza wakiume au wakiume alofanikiwa nisawa na kua Makamo wa wazazi wako ".......


JENGENI KWENU, SIKU MKIFA SISI TUTAWAZIKA KWENU MTAKE MSITAKE ,NANDIO SIKU UPENDO WETU WA DHATI UTADHIHIRIKA KWENU KWAKUA TUTAWASEMA ,TUAWACHEKA KWELIKWELI NA KWA UWAZI [emoji23][emoji23][emoji23].AAAAAAAAHHHHH



......NASEMA IVI JENGENI KWENU [emoji23] ACHEN MBWEMBWE NA MISIFA YA KUITWA THE DON KUMBE NYUMBAN WAZAZI WAKO HOIIIIIIIIIIII.


pongezi kwa WACHAGA ... Najua mnazikwa kwenu sababu mlijenga mapema kwenu ingawa wapo wapuuzi wasojielewa .... PONGEZI ZA KINAFIKI kwa WAHAYA kwakua ni watu wa masifaaaaaa lakin Kwao WAZAZI WANALALIA NYASI NA MAJANI YA MIGOMBA.......Wazazi funza zinawatoka vidoleni haahhahahauau.


Mchana mwema mazeee!!

Niliposoma hiyo thread ndo nilijua you are one person.

1. Huwezi kuandika para 5 bila kuweka sentensi zenye herufi kubwa (kupayuka);

2. Huwa mara nyingi sana unaweka vituo mahali siyo, huweki nafasi baada ya vituo vidogo na vikubwa, unaweza kianza sentensi kwa herufi ndogo; na

3. Huwa hujui kufupisha, kitu cha kutumia maneno mafupi unazunguka nacho sana.

NB: Unapenda sana attention kama watoto wa kike.
 
upo sahihi kuna drama ilitokea juzi humu inanihusu mie demiss na shunnie nikawaza ina maana ningeendekeza tu na mie ningeanikwa kwa kweli pm huwa najibu mara 2 nkichat na wewe mda mrefu sana nimekusoma na ninakuheshimu kuna mijitu mitindiga sana humu yaani
Kumbe alafu leo kama niliota nilipita kufukua makaburi ya pm khaaaa nimebaki domo waziii jaman hivi kutongoza mwanamke nayo ni sifaaa
 
Mwandiko wako huwa haujifichi.
Mwandiko upi??
Niliposoma hiyo thread ndo nilijua you are one person.

1. Huwezi kuandika para 5 bila kuweka sentensi zenye herufi kubwa (kupayuka);

2. Huwa mara nyingi sana unaweka vituo mahali siyo, huweki nafasi baada ya vituo vidogo na vikubwa, unaweza kianza sentensi kwa herufi ndogo; na

3. Huwa hujui kufupisha, kitu cha kutumia maneno mafupi unazunguka nacho sana.

NB: Unapenda sana attention kama watoto wa kike.
Mann umeandika sasa??? Unakot uzi uloandikwa na Carlos..unakot koment iloandikwa na Carlos ...alafu bado unasema ndo mwenyewe??? Umeushugulisha ubongo wako kisawasawa kweli???

Au unavyosema ndo mwenyewe unamaanisha nn???


Kipi kinachokuaminisha huo ujinga kua natafuta Attention?? Na yann?? inisaidie nn nakwafaida gani??
Ni sababu ya Maandiko yangu??? Wewe unavyoandika maandiko yako huwa unaandika kutafuta Attention???


Think outside the Box!!! Mawazo yako hayawezi fanana namawazo yangu hata siku moja...ndio maana wakat maandiko yangu yanakukera, wengine wanayafurahia nakunipa Tano[emoji109]
 
Mwandiko upi??Mann umeandika sasa??? Unakot uzi uloandikwa na Carlos..unakot koment iloandikwa na Carlos ...alafu bado unasema ndo mwenyewe??? Umeushugulisha ubongo wako kisawasawa kweli???

Au unavyosema ndo mwenyewe unamaanisha nn???


Kipi kinachokuaminisha huo ujinga kua natafuta Attention?? Na yann?? inisaidie nn nakwafaida gani??
Ni sababu ya Maandiko yangu??? Wewe unavyoandika maandiko yako huwa unaandika kutafuta Attention???


Think outside the Box!!! Mawazo yako hayawezi fanana namawazo yangu hata siku moja...ndio maana wakat maandiko yangu yanakukera, wengine wanayafurahia nakunipa Tano[emoji109]
Mkuu nimesema kwamba Carlos ndo Vlad, huo mwandiko niliokuwekea hapo ni wa Carlos, aliyeandika kama anavyoandika Vlad.
 
Niliwah andika uzi... Nikisema " wanawake wa JF kuwen makini humu,"

Mule ndan nikaandika sana namna wanaume wanavyotumia mbin ,anakuziga yupo shinyanga et atakusafiria kumbe mpo naye Dar na tabata iyo iyo...

Lkn weeee kuna mtu alifura sana akahisi nmemsema yeye .. Bahat nzur kila kitu chao uko kwa maPM lazima kinifikie.. Ilo likapitaa.

Nyuzi zangu kuna wakat najitoa ufaham ti Naandika kuhusu suala la waawake kufanya biashara ya ngono mtandaoni , then mtu fulan anakuchukia bila sababu .

Sasa kumbe nikagundue watu wanapenda kusikia yale wanayoyafurahiaaa.

Ilo sio dogo,, mimi NACHUKIA SAN NA KWA NGUVU ZANGU ZOTE MWANAMKE KUCHEPUKA UWE UMEOLEWA AU MPENZI WAKO NACHUKIA NA NITAENDELEA KUCHUKIA...... hapa napo watu nikiandika wanahisi nawasema waooo.

Matokeo yake, zinatafutwa mbinu zakila aina kuninyamazisha ?[emoji23][emoji23][emoji23]..


Sasa watu wanamna hiyo wanavyokuka kuniattack kisa maudhui yangu niwafanyaje kama sio namm kuwaumbua tuu?? Kwakweli nitaendelea kumuumbua yoyote atakayeniletea ujinga ,subirin nirudi !!

Sasa ndo hayo yanayofanya watu waseme "Putiiin mubayaaa, putin mjingaaa ,sijui nn"


Aaahhhh ukijali yaJF yako..namm nitajali yaJF yangu .
Linganisha hiyo quote ya Carlos na huu mwandiko.

Kuna kitu unatakiwa kukifanyia kazi kwenye mwandiko, kama unanielewa utabadilika for your own good.

Faida moja kubwa JF ni kukubali kufanyia kazi mapungufu tunayoambiwa na wadau, siyo kila anayekukosoa anakuonea wivu, jifunze kuandika.

Ninapenda kusoma unayoyaandika, shida ni kwamba una mwandiko unaofanya msomaji adhani aliyeandika ni kilaza.
 
Niliposoma hiyo thread ndo nilijua you are one person.

1. Huwezi kuandika para 5 bila kuweka sentensi zenye herufi kubwa (kupayuka);

2. Huwa mara nyingi sana unaweka vituo mahali siyo, huweki nafasi baada ya vituo vidogo na vikubwa, unaweza kianza sentensi kwa herufi ndogo; na

3. Huwa hujui kufupisha, kitu cha kutumia maneno mafupi unazunguka nacho sana.

NB: Unapenda sana attention kama watoto wa kike.

hahahhahah black & white.
 
Back
Top Bottom