Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Mrejesho wa hisia zangu(My soulmate Vladmirovich Putin)

Yaan ukweli nikwamba kuna watu wanataka niandike vile wanavyopenda wao yaan mambo matam matamu kwao !!

Yaaaah kila mtu ajali yake yajF mchezo kwisha.


Form four nilipata A ya Maths , bila kutaja A level, kama kikombe cha pepa la form 4 nilipata A , sembuse nyimbo za wasanii humu??

After all nina limoyo fulani gumu gumu la chumaaa yaan limoyo ambalo huwa siruhusu mtu mwingine anipe tabu.

Ili mradi nakujua, unanijua aaahhh tutaumbuana mwanzo mwisho bila kubakisha kitu.

Nadhan hakikua kikombe maana sikuona kitu!!.
Hujaelewa swali
 
Ile post niamini mie haikuwalenga nyie hata ilinilenga mie maana usiku kama wa saa 7 hivi mtu aliweka picha zangu jukwaani sema zikawahiwa kutolewa asubuhi ikaja ile ile lengo ilikuwa ni kuniprovoke ila nayo tukailia pini halafu ni mdada tu tena rafiki yenu mkubwa tu namuona mshamba tu fala mmoja tu.Yaani mtu akizoea drama humu na kuchimba maisha ya watu na kila mmoja kujifanya anajua kila kitu nakujiona anajua kumbe akili zenyewe za darasa la 2 namdharau tu
Msamehe bure
 
Back
Top Bottom