Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mmmh ,hayaNimeshafika kwa shayo muda sana..na nimeshamaliza....sasa nimerudi kusoma maandiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh ,hayaNimeshafika kwa shayo muda sana..na nimeshamaliza....sasa nimerudi kusoma maandiko
Nimekupitia hapo sijui ulikua wapi.Mmmh ,haya
Nikirudi nikumbushe kuondoka!..😀Haya naomba turudi huku mmu hakukufai kabisa
Raha ya jf bwana, walio kimya huwa wanatafuna sana. Yaani walio kimya wanaenjoy sana, leo huyu na kesho hata akibadilisha hakuna anayejua. Silent killers.
Hujaelewa swaliYaan ukweli nikwamba kuna watu wanataka niandike vile wanavyopenda wao yaan mambo matam matamu kwao !!
Yaaaah kila mtu ajali yake yajF mchezo kwisha.
Form four nilipata A ya Maths , bila kutaja A level, kama kikombe cha pepa la form 4 nilipata A , sembuse nyimbo za wasanii humu??
After all nina limoyo fulani gumu gumu la chumaaa yaan limoyo ambalo huwa siruhusu mtu mwingine anipe tabu.
Ili mradi nakujua, unanijua aaahhh tutaumbuana mwanzo mwisho bila kubakisha kitu.
Nadhan hakikua kikombe maana sikuona kitu!!.
Nikirudi nikumbushe kuondoka!..😀
Hahahaha You are the King of smashing !!Hahahaaa!
Am I part of that club?
Coz truth be told I’m the king of smashing.
Hahahahaaa.
Nyoosha swali lako nilipe jibu ...wenda naww hujaelewa ulichokiukiza mkuu.Hujaelewa swali
Hahahaha You are the King of smashing !!
The Man with the Gun !!.....keep itup Jooh!!A certified real one.
Nilikua chooni 'nakojoa'Nimekupitia hapo sijui ulikua wapi.
Msamehe bureIle post niamini mie haikuwalenga nyie hata ilinilenga mie maana usiku kama wa saa 7 hivi mtu aliweka picha zangu jukwaani sema zikawahiwa kutolewa asubuhi ikaja ile ile lengo ilikuwa ni kuniprovoke ila nayo tukailia pini halafu ni mdada tu tena rafiki yenu mkubwa tu namuona mshamba tu fala mmoja tu.Yaani mtu akizoea drama humu na kuchimba maisha ya watu na kila mmoja kujifanya anajua kila kitu nakujiona anajua kumbe akili zenyewe za darasa la 2 namdharau tu
Yerewiii...basi umekosa utamu wa muhogoNilikua chooni 'nakojoa'
Yeah ajifunze kusamehe !!Msamehe bure
Hahahaaaa. Na kweli maana zikiwa ndefu twaeza rudia mara tatu tatu ndio tuelewe.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dada akee comments ndefu zinachosha kusoma yna4
Dah,haya banaYerewiii...basi umekosa utamu wa muhogo
Kwema ndugu yangu sijui kwako?Haha.. Kwema lakini Dada ake
Uku kwema tu Dada akeKwema ndugu yangu sijui kwako?